Moral Destruction kila binti mtaani ana mtoto?

Roadmap

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
2,898
5,797
Wakuu mtaani sasa ivi karibu 70% ya mabinti wenye age above 20 wana watoto kwa kweli inatisha sana tena sana ajabu sasa hawa mabinti ukimuliza vipi baba yake yupo wapi atakavyokujibu utadhani hiyo mimba imejitunga yenyewe tu bila yeye kutoa papuchi binti unakuta anajifanya very smart na hataki habari za wanaume apo apo ana watoto wawili kazalishwa tu tena baba tofauti?

Nahisi kizazi kijacho kitatoa jasho sana kupata wake ambao hawana watoto mana kwa sasa kila mtu ni single mother halafu hawa single mother wengi ndio huaribu psychology ya watoto kuhusu wanaume huwajaza sumu kubwa sana wakati ujinga ni wao walifanya kubeba mimba katika mazingira ambayo hawakuwa na uhitaji wa hao watoto, kama taifa na wizara itoe elimu kwa hawa single mother mana ni Bomu litakalokuja kulipuka alafu ilivo sasa mtoto ambae akilelewa na mzazi mmoja the likely kama ni wakike nae kuja kuzaa kabla ya ndoa au wakati ni kubwa saana hili nina proof nalo nahisi maji hufata mkondo kama mtoto ulimzaa kiholela uko chuo au shule na baba mtu humjui io situationa nayo itamrudia tu mtoto nae atàfanya uliyoyofanya Tuwe makini sana hawa mabinti huficha sana kama ana mtoto akiona unataka kumuoa mimi nina mwanangu alikuwa ni mtu wa misuli hataki kujua wanawake na tabia zao na maumbile yao matokeo yake amekuja kuoa demu tayari ana watoto wawili bila kujua amekuja kujua baadae ilikuwa mtiti sana kusuruhisha.

Japo waswahili wanasema KITANDA HAKIZAI HARAMU.
 
Tatizo watoto wajuzi mkipata tu degree mnajiona ma researcher professional. Single mothers wamekuepo kwenye jamii zetu enzi na enzi. Hakuna jipya!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ya sasa mkuu inatisha sio kijijini wala mijini miaka ya nyuma nilkuwa napigiwa story na bibi kuwa binti akizalia nyumbani ni aibu kubwa sana kwa familia na ukoo na anaweza kuwa isolated. Ivo ma binti wengi walikuwa wanajilinda ila saivi mambo ni tofauti mabinti kuzaa bila ndoa wala mpangilio wameona ni kama fashion binti akidanga akipigwa mimba anatulia azae apo anakuambia wacha nizae ili niuze papa fresh mana tayari atakuwa na mtoto
 
Dunia inabadilika, maana yake ni lazima zishuhudiwe situations tofauti na za awali ziwe chanya ama hasi.
 
Wakuu mtaani sasa ivi karibu 70% ya mabinti wenye age above 20 wana watoto kwa kweli inatisha sana tena sana ajabu sasa hawa mabinti ukimuliza vipi baba yake yupo wapi atakavyokujibu utadhani hiyo mimba imejitunga yenyewe tu bila yeye kutoa papuchi binti unakuta anajifanya very smart na hataki habari za wanaume apo apo ana watoto wawili kazalishwa tu tena baba tofauti?

Nahisi kizazi kijacho kitatoa jasho sana kupata wake ambao hawana watoto mana kwa sasa kila mtu ni single mother halafu hawa single mother wengi ndio huaribu psychology ya watoto kuhusu wanaume huwajaza sumu kubwa sana wakati ujinga ni wao walifanya kubeba mimba katika mazingira ambayo hawakuwa na uhitaji wa hao watoto, kama taifa na wizara itoe elimu kwa hawa single mother mana ni Bomu litakalokuja kulipuka alafu ilivo sasa mtoto ambae akilelewa na mzazi mmoja the likely kama ni wakike nae kuja kuzaa kabla ya ndoa au wakati ni kubwa saana hili nina proof nalo nahisi maji hufata mkondo kama mtoto ulimzaa kiholela uko chuo au shule na baba mtu humjui io situationa nayo itamrudia tu mtoto nae atàfanya uliyoyofanya Tuwe makini sana hawa mabinti huficha sana kama ana mtoto akiona unataka kumuoa mimi nina mwanangu alikuwa ni mtu wa misuli hataki kujua wanawake na tabia zao na maumbile yao matokeo yake amekuja kuoa demu tayari ana watoto wawili bila kujua amekuja kujua baadae ilikuwa mtiti sana kusuruhisha.

Japo waswahili wanasema KITANDA HAKIZAI HARAMU.
60% ya single mother siku hizi inatokana na wanaume ambao ni waoga kuwajibika.
 
Wakuu mtaani sasa ivi karibu 70% ya mabinti wenye age above 20 wana watoto kwa kweli inatisha sana tena sana ajabu sasa hawa mabinti ukimuliza vipi baba yake yupo wapi atakavyokujibu utadhani hiyo mimba imejitunga yenyewe tu bila yeye kutoa papuchi binti unakuta anajifanya very smart na hataki habari za wanaume apo apo ana watoto wawili kazalishwa tu tena baba tofauti?

Nahisi kizazi kijacho kitatoa jasho sana kupata wake ambao hawana watoto mana kwa sasa kila mtu ni single mother halafu hawa single mother wengi ndio huaribu psychology ya watoto kuhusu wanaume huwajaza sumu kubwa sana wakati ujinga ni wao walifanya kubeba mimba katika mazingira ambayo hawakuwa na uhitaji wa hao watoto, kama taifa na wizara itoe elimu kwa hawa single mother mana ni Bomu litakalokuja kulipuka alafu ilivo sasa mtoto ambae akilelewa na mzazi mmoja the likely kama ni wakike nae kuja kuzaa kabla ya ndoa au wakati ni kubwa saana hili nina proof nalo nahisi maji hufata mkondo kama mtoto ulimzaa kiholela uko chuo au shule na baba mtu humjui io situationa nayo itamrudia tu mtoto nae atàfanya uliyoyofanya Tuwe makini sana hawa mabinti huficha sana kama ana mtoto akiona unataka kumuoa mimi nina mwanangu alikuwa ni mtu wa misuli hataki kujua wanawake na tabia zao na maumbile yao matokeo yake amekuja kuoa demu tayari ana watoto wawili bila kujua amekuja kujua baadae ilikuwa mtiti sana kusuruhisha.

Japo waswahili wanasema KITANDA HAKIZAI HARAMU.
Serikali ipi mkuu wakt mkakati ndio huo wajinga wanazidi kuongezeka wanapata wapiga kura vizazi vyao viongozi wetu wanakuja kututawala tna angalia shule za kata tu wamejaa watoto wa kina Nani jibu utapata...

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kinachowaponza wasichana ni kuwa wao ndio wabeba mimba, mimba hawajipi wenyewe, hivyo kuna mvulana au mwanaume asiye na maadili wametembea wote, hivyo hata wakati wa kuoa, kuna wanaume wengi tu ambao wameshazalisha na wanaowaoa hawatakaa wajue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom