Monusco on the spot as FDLR deadline expires

Monusco on the spot as FDLR deadline expires

In a space of four days, UN troops
helped defeat Congo's M23 rebels in
2013 and it had been hoped that next
to be crushed was the FDLR whose
leaders are either standing trial in
Germany for presiding over a terrorist
organisation or are wanted for genocide
and crimes against humanity.

Kipigo cha M23 wanyArwanda HASA WATUSI hawaji kukisahau! Milele>Jeuri ya kagame iliyeyuka kama mvuke baada ya kipigo kile hakuamini macho yake yeye na wanajeshi wake.

Kwa hiyo wanatamani kipigo kile kile wapigwe FDLR.!!! It will never happen.Kile kilikuwa kipigo special kwa M23 na wale waliokuwa wakiwasaidia kutaka kumpindua kabila.Hao FDLR hawana mpango wa kumpindua kabila wala kuiangusha serikali ya kongo.Ni wakimbizi wa kisiasa wa Rwanda.Hivyo kesi yao ni tofauti na M23.
 
how is FDRL pose security risk in great lake region is beyond me! these are people who are running away from their bloodthirsty leader( kagame) in rwanda who will kill them all without pity should they return, they should be treated as political refugee and allowed to continue with their lives they are committing no crimes infact congolese people love them, they live side by side with them in harmony its big country y should they return to that tiny country, people of eastern congo have seen and heard enough gun shot and bombing they need to recover and continue with their lives no wonder kabila is not bothered by them.

they cant disarm, they are living in forest and should they do so mad man kagame hear they are out of weapon he will send his soldiers to kill them all with no mercy, they need weapon for self defense only and kabila knows this, kabila wont allow these people to be killed as their blood will be on his hand i am sure he does not want that to happen, God bless president kabila, God bless UN and Monusco.
 
Tanzania, one of the three countries
whose troops constitute FIB but whose
government is believed to be
sympathetic toward the FDLR, has said
it was not opposed to the operations
against the militia. Yet there have also
been reports that Tanzanian troops
were unlikely to partake in the anti-
FDLR campaign.

Dongo Hilo kwa JK
 
@Kimilidzo,

..wanaeneza habari hizo ni magazeti ya serikali ya Rwanda.

..kuna kipindi yaliandika kwamba Mama Salma Kikwete ni Mhutu.

..zote hizo ni juhudi za kumchafua JK ili ionekane ana mahusiano na FDLR.

..kipigo walichotoa JWTZ kwa magaidi wa M23 kimewaumiza sana hawa wenzetu, lakini wakati huohuo kimewafurahisha wananchi wa Congo.

..
 
Back
Top Bottom