Kibona, huu ndio unafiki tunaousema kila mara, Rwanda Foreign affairs minister ndiye alisema ikifika hiyo deadline ya kudisarm FDRL ndipo ukweli utajulikana wa nani mnafiki..
FDRL imekuwa named as a negative force that needs to be disarmed by all means, hii ilikubaliwa na mataifa yote na mpaka sasa hivi, ukiondoa Tanzania nchi zote zishatoa msimamo wake juu ya FDRL.
Hapa utajiuliza Tanzania ina faida gani juu ya FDRL?
Tanzania inakisaidia sana kikundi cha FDRL; Political assistance is more than anything, manake kama nchi inadiliki kukiita kikundi hiki kuwa ni cha kupigania uhuru (kumbuka only Tanzania has given out this statement);on the other side nchi kama Marekani na mataifa ya Ulaya kwa wao FDRL ni kikundi cha kighaidi.
Kikundi hiki kimekuwa banned na viongozi wake kukataliwa kutembea mataifa ya Ulaya ila nchi, tena jirani ya Rwanda ndio inakuwa ya kwanza ku defend kikundi hicho.(Any way lets wait and see, ila what i know this wont help anything):
DRC Congo ishasema kabisa haiko tayari kuendelea ku host FDRL, and Congolese are taking it as a terrorist organization:
Nadhani wegi hatutakuwa tumekosea tukisema Tanzania inataka kuanzisha vurugu nchini Rwanda.
Mkuu, talkandtalk; Nakubariana na wewe upande mmoja and i differ with you on the other side, Kwanza sikubariani na wewe kwa dhana eti Tanzania inataka kuanzisha vurugu nchini Rwanda, kwani hakuna any evidence za kuonyesha kuwa TZ inaanzisha Vurugu nchini Rwanda na Labda niseme umepitiwa kidogo (slip of tongue) kusema hivyo na endapo ulimaanisha, basi unastahili kuomba Radhi kwa Watanzania Via JF....
Definition ya Vurugu(violence as politically refereed as instability etc)
According to oxford dictionary, the word violence refers to the unlawful exercise of physical force or intimidation by the exhibition of such force. sasa kwa definition hii, where do you connect the dot? ushahidi tunaomba....
UN CHARTER
UN charter inashauri mazungumzo yafanyike ili kupata Amani. for instance it provides, Article 33 (1) of the UN Charter provides inter alia that, The parties to any dispute, the continuance of which is likely to endanger the maintenance of
international peace and security, shall, first of all, seek a solution by negotiation, enquiry, mediation,conciliation, arbitration, judicial settlement, resort to regional agencies or arrangements, or other peaceful means of their own choice. kwa hiyo Tanzania aliweza kuliona hilo na ndo maana alishauri from the begining yawepo mazungumzo kati ya pande mbili.
UN CHARTER ON CIVIL AND POLITICAL RIGHT 1956
Ibara ya 20,Ibara ndogo ya 1 na 2 vikisomeka kwa pamoja, provides that Any propaganda for war shall be prohibited by law. Thus, Any advocacy of national, racial or religious hatred that con'stitutes incite ment to discrimination, hostility or violence shall be prohibited by law.
Hivyo basi, matumizi ya nguvu na vita vimeharamishwa na sheria za umoja wa mataifa kwa mantiki hiyo na kwa kuzingatia kwamba kila mtu ana Haki ya kuwa na chama OR Mwanachama wa Tasisi yoyote bila kubugudhiwa na hivyo ndo misingi ya democrasia na utawala bora vinavyotaka. One thing am not sure is whether Rwanda has the former or the later...