monitoring software

Start,add or remove then futa instruction

^^ what are you on about? haha


Fatma Bawazir, unaongelea software zinazofungua kwenye internet labda kazini na zina fungia network sites and/or downloads , sio? kuna jinsi tofauti za kuzizunguka, lakini kama ni sehemu ya ofisini sikushauri uje jaribu as most of these softwares zinakuwa zina track network inavyotumika. then ukumbuke kuwa kila computer ina MAC Address ambayo ni ya kuitofuatisha kwenye matandao. nachojaribu kusema ni kwamba ukiweza kuzunguka monitoring software iliyopo IT technician aliyepo kwenye server atanote and also kwa kutumia MAC Address atajua which computer inatumika kuzunga ban, ergo you'll get into trouble
regards, leh
de8yv8.gif
 
^^ what are you on about? haha Fatma Bawazir, unaongelea software zinazofungua kwenye internet labda kazini na zina fungia network sites and/or downloads , sio? kuna jinsi tofauti za kuzizunguka, lakini kama ni sehemu ya ofisini sikushauri uje jaribu as most of these softwares zinakuwa zina track network inavyotumika. then ukumbuke kuwa kila computer ina MAC Address ambayo ni ya kuitofuatisha kwenye matandao. nachojaribu kusema ni kwamba ukiweza kuzunguka monitoring software iliyopo IT technician aliyepo kwenye server atanote and also kwa kutumia MAC Address atajua which computer inatumika kuzunga ban, ergo you'll get into trouble regards, leh
de8yv8.gif
asante kwa ushauri nilitaka kumpija mtu chenga ya mwili halafu nimtoke kwa kumpija kanzu lakini bahatiyake mpira umekwisha
 
asante kwa ushauri nilitaka kumpija mtu chenga ya mwili halafu nimtoke kwa kumpija kanzu lakini bahatiyake mpira umekwisha

ka, ulinipoteza na hiyo sentensi

some programs huwa hazina installation na sana sana zinakuja zimeandikwa portable.
mfano link ya nero portable --> nero portable tpb

program potrtable ni program ambayo imetengenezwa ku run on its own bila ku install. kutoa program kama hizi dawa ni shift+delete. unaifuata kwenye folder iliyo extract into (mostly itakuwa kwenye program files)
 
inategemea, mtu unayetaka kumpa chenga (network admin) yupo makini kivipi. kama yeye anajuwa kazi yake na "is out to get your a$$" huwezi kufanikiwa. of course, kwenye internet kuna vifaa, lakini vinasadia tu kama unajawa unachofanya na network admin yupo "distracted" kama wanavyokuwa kwenye internet cafes.

ushari: usijaribu, epuka
 
^^ what are you on about? haha


Fatma Bawazir, unaongelea software zinazofungua kwenye internet labda kazini na zina fungia network sites and/or downloads , sio? kuna jinsi tofauti za kuzizunguka, lakini kama ni sehemu ya ofisini sikushauri uje jaribu as most of these softwares zinakuwa zina track network inavyotumika. then ukumbuke kuwa kila computer ina MAC Address ambayo ni ya kuitofuatisha kwenye matandao. nachojaribu kusema ni kwamba ukiweza kuzunguka monitoring software iliyopo IT technician aliyepo kwenye server atanote and also kwa kutumia MAC Address atajua which computer inatumika kuzunga ban, ergo you'll get into trouble
regards, leh
de8yv8.gif

About removing monitoring toool,hahhahaa,.sa we vipi hata mtu mzima alianza kwa kutambaa we unanicheka?!haja bwana kheri yako ITchian
 
About removing monitoring toool,hahhahaa,.sa we vipi hata mtu mzima alianza kwa kutambaa we unanicheka?!haja bwana kheri yako ITchian

mkuu mbona sijakucheka? nilifurahi tu thats all. sina tabia ya kumcheka mtu, niwie radhi kama nimekukosea
 
Back
Top Bottom