MONICA: Mwanamke mnene mwenye malengo ya kunenepa zaidi

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
monica.jpg


Kutana na Monica Riley, dada mwenye umri wa miaka 27 ambaye amejaaliwa unene wa kutosha lakini bado anahitaji kunenepa zaidi ili afikie lengo la kuwa mwanamke mnene kuliko wote duniani.

Monica ameweka bayana kuwa lengo lake ni kunenepa hadi ashindwe kujisogeza ili awe kama Malkia, yaani afanyiwe kila kitu.

Bwana'ake, Sid Riley ambaye ni kijana wa miaka 25, ndiye msaada wake mkubwa haswa kwenye masuala ya mapishi na kumlisha. Sid hana tatizo na suala la baby wake Monica kwani yuko nae sambamba.

Mama yake Monica alishawahi mtahadharisha bintiye kuhusu unene huo kuwa utamsababishia maradhi na hata kifo, lakini Monica mwenyewe ameonyesha kutojali na anataka aachwe aishi apendavyo.

Kwa sasa, Moni na Sid wanafanya jitihada ya kupata mtoto licha ya kujaribu mara kadhaa na mimba zote kuharibika. Na kuhusu kumlea, amesema atatafuta kijakazi wa kumsaidia kulea.

Kuna mengi kuhusu Monica ila hayo ni muhtasari tu. Malengo yake ya msingi kwa sasa ni kufikia uzito wa Kilo 1000.

Mungu aliumba waja wake!
==================

"I Won’t Stop Until I’m Too Fat To Move” – Woman Who Wants To Be The World’s Fattest Woman

ANAE TAKA URAIA WA AMERIKA.jpg


Monica Riley, 27 who is morbidly obese, weighing over 50 stones and models for websites as Big Beautiful women (BBW) says she wants to be the world’s fattest woman and that she won’t stop adding weight until she becomes unable to walk.

27-year-old obese model, Monica Riley, from Fort Worth, Texas, tips the scales at 700lb (50 stone), and is paid by men to eat, wants to add a further 300lbs (21 stone) to become the world’s fattest woman and dreams of being too tat to move, and is already working towards hitting 1,000lb so that she feels like a ‘queen’.

According to a report by Dailymail, her 25-year-old boyfriend, Sid Riley, spends his days cooking Monica meals and even feeding her 3,500 calorie shakes lavished with double cream through a funnel which he rolls her over when her 91-inch stomach is full.

‘The plan is to reach 1000 lbs and become immobile. I would feel like a queen because Sid would be waiting on me hand and foot and he’s excited about it too.

‘It’s a sexual fantasy for us and we talk about it a lot. He already has to help me get off the sofa and get me out of bed. If I lay down after a big dinner he has to help me roll over because my belly is too full for me to roll – it’s a big turn-on for both of us,’ Monica said.

Despite their controversial plans, the Monica and Sid are trying for a baby and have endured two miscarriages so far.

‘We do plan to have children – there’s nothing to stop me raising a child from my bedroom. We would get a nanny in to help around the house and take the baby out and about,’ She said.

On an average day, Monica will eat six biscuits, six sausages in a bread roll, a big bowl of sugary cereal, two weight gain shakes, four McChicken sandwiches, four double cheeseburgers, a large portion of French fries, 30 chicken nuggets, macaroni cheese, Taco Bell treats and a gallon of ice cream.

‘My mom doesn’t understand it at all and she says I’m killing myself. I understand her concerns but it’s my life and gaining weight makes me happy.

‘I do worry a little bit about losing my independence but I know Sid loves taking care of me and would never let me suffer,’ Monica said.

Monica hopes to get to a size where she will be unable to do anything for herself, requiring Sid to clean her, feed her and change her by the time she is 32.

Source: Online
 
Hapo tuu alipo anatisha mno hata huyo bwana ake ana kazii sana loh
 
View attachment 403420

Kutana na Monica Riley, dada mwenye umri wa miaka 27 ambaye amejaaliwa unene wa kutosha lakini bado anahitaji kunenepa zaidi ili afikie lengo la kuwa mwanamke mnene kuliko wote duniani.

Monica ameweka bayana kuwa lengo lake ni kunenepa hadi ashindwe kujisogeza ili awe kama Malkia, yaani afanyiwe kila kitu.

Bwana'ake, Sid Riley ambaye ni kijana wa miaka 25, ndiye msaada wake mkubwa haswa kwenye masuala ya mapishi na kumlisha. Sid hana tatizo na suala la baby wake Monica kwani yuko nae sambamba.

Mama yake Monica alishawahi mtahadharisha bintiye kuhusu unene huo kuwa utamsababishia maradhi na hata kifo, lakini Monica mwenyewe ameonyesha kutojali na anataka aachwe aishi apendavyo.

Kwa sasa, Moni na Sid wanafanya jitihada ya kupata mtoto licha ya kujaribu mara kadhaa na mimba zote kuharibika. Na kuhusu kumlea, amesema atatafuta kijakazi wa kumsaidia kulea.

Kuna mengi kuhusu Monica ila hayo ni muhtasari tu. Malengo yake ya msingi kwa sasa ni kufikia uzito wa Kilo 1000.

Mungu aliumba waja wake!
==================

"I Won’t Stop Until I’m Too Fat To Move” – Woman Who Wants To Be The World’s Fattest Woman

View attachment 403304


Monica Riley, 27 who is morbidly obese, weighing over 50 stones and models for websites as Big Beautiful women (BBW) says she wants to be the world’s fattest woman and that she won’t stop adding weight until she becomes unable to walk.

27-year-old obese model, Monica Riley, from Fort Worth, Texas, tips the scales at 700lb (50 stone), and is paid by men to eat, wants to add a further 300lbs (21 stone) to become the world’s fattest woman and dreams of being too tat to move, and is already working towards hitting 1,000lb so that she feels like a ‘queen’.

According to a report by Dailymail, her 25-year-old boyfriend, Sid Riley, spends his days cooking Monica meals and even feeding her 3,500 calorie shakes lavished with double cream through a funnel which he rolls her over when her 91-inch stomach is full.

‘The plan is to reach 1000 lbs and become immobile. I would feel like a queen because Sid would be waiting on me hand and foot and he’s excited about it too.

‘It’s a sexual fantasy for us and we talk about it a lot. He already has to help me get off the sofa and get me out of bed. If I lay down after a big dinner he has to help me roll over because my belly is too full for me to roll – it’s a big turn-on for both of us,’ Monica said.

Despite their controversial plans, the Monica and Sid are trying for a baby and have endured two miscarriages so far.

‘We do plan to have children – there’s nothing to stop me raising a child from my bedroom. We would get a nanny in to help around the house and take the baby out and about,’ She said.

On an average day, Monica will eat six biscuits, six sausages in a bread roll, a big bowl of sugary cereal, two weight gain shakes, four McChicken sandwiches, four double cheeseburgers, a large portion of French fries, 30 chicken nuggets, macaroni cheese, Taco Bell treats and a gallon of ice cream.

‘My mom doesn’t understand it at all and she says I’m killing myself. I understand her concerns but it’s my life and gaining weight makes me happy.

‘I do worry a little bit about losing my independence but I know Sid loves taking care of me and would never let me suffer,’ Monica said.

Monica hopes to get to a size where she will be unable to do anything for herself, requiring Sid to clean her, feed her and change her by the time she is 32.

Source: Online
Sasa huyo mumewe akitaka kurekebisha afya anamlaza staili gani!!!
 
Inawezekana akafikia lengo kg 1000,miye nataka kg5000 kwa sasa zimefika 108 na safari inaendelea.
 
Huyu muda wote ana miharufu ya 'nya' tu! Kwa mwili huo hawezi kujiswafi vizuri huyu.:):)
 
Back
Top Bottom