Mongoose aka Nguchiro kiboko ya Koboko!

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Sep 19, 2023
201
439
Koboko au black mamba na hatari zake zote unazozijua huwa akikutana na huyu mwehu lazima atubu.Na siyo kuuliwa tu bali Koboko ni miongoni mwa vyakula vya Mongoose!

Umeipata hiyo mwanawane.

FB_IMG_1711475444331.jpg
 
Koboko au black mamba na hatari zake zote unazozijua huwa akikutana na huyu mwehu lazima atubu.Na siyo kuuliwa tu bali Koboko ni miongoni mwa vyakula vya Mongoose!
Umeipata hiyo mwanawane......
Aisee nimeona bhana.
Huyu nguchiro mtu wa timing.
Yani ana mtime kichwani anamng'ata mara moja koboko chali.
Kama nguchiro anafugika unamfuga tu ili akuondolee matatizo ya koboko shambani.
 
Back
Top Bottom