Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
- Thread starter
- #261
Lakini si umeendaππππtuliza mchecheto bibie nime enda kuku angalia insta una fananaje siwez kufollow acc yako maana haija nivutia bali ile comment ya kwamba kuna kibuyu kama cha mshana jr ndo ilio nipeleka kule
Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
Wanawake bwana, me nadhani mkapike sasa mfuturu, wanaume wamwahawasoma vibaya mno
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss