Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Na Hannah

Napenda KUWASHUKURU Kwa kuniweka hewani leo
Ndani ya nusu saa nimeshapata viewers elfu 3 kwenye website๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Napenda kumshukuru MDAU, mwanzo ulipokuja sikukuelewa lakini sasa nimekuelewa mno
Kauzi kadogo watu wamewaaaka na kutoa unga na kunifanya niingize hela kama hivi Leo za bure bure
Am sure hela zitaendelea kuingia unless Mods WA JF wafute huu Uzi, wakiuacha wiki nzima nitapata views elfu laki 1 yaania milion 10 plus๐Ÿ’ช

MTU anapodhani amekukomoa Kwa kukupiga teke, kumbe amekuongezea mwendo WA safari ndio leo

Asanteni wapendwa leo umeniingizia hela ya maana
Endeleeni Ku comment nizidi kupata hela๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Cc: Smart911 wachaga Sisi tumekuja mjini kutafuta hela bwana sio kuuza uchi๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Kama hivi leo nishaingiza hela WordPress bure bure
Na mpaka wajue kuwa walichokifanya sio kunikomoa NI kunisogeza mbele KIMAISHA na wameniingiziaje hela sio leo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
KENZY
Unadhani sisi tuna roho kama yako? Tumeku-support na kukufunza namna ya kubehave. Hivyo umepata followers and you've learned your lesson the hard way.
 
chiiii ume nifanya niende instagram kutazama kibuyu cha Mshana kinavo fanania
daaah wabongo Salute
Wanaume humu wamekufanya msemaji wao???
I was only stating facts....hujanishinda ila naona tu unatatizo sehemu....
Ungekua unajimudu ungepambana na yule dada hadi mwisho sio kutoa lame excuses ooooh nawaheshimu wazazi wake blah blah....

Wivu??Miwani???? Darling I'm too confident I don't need shades to cover my face...
Ooooh ukimaliza kuuza "hadisi" zako nitafute nikupe a diet program for free looks like u need one Nilivoona picha nkajua kibuyu cha Mshana kumbe the hottest lady in JF
Byeeee Felicia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Wewe ni mwanamke ila umeandika kwa kutumia akili za kiume kabisa.

Big up sana kwa kuwa unajitambua.
KWasababu ya company yake, company yake ni Me so hata fikra zake na maandishi yake lazima vifanane nasi.
Nje ya topic; hivi ukiwa na urafiki na mwanamke kwa muda mrefu, siku ikitokea unataka akupe game unafanyaje kumuomba? Nahisi mnakua mmezoeana sana and hence kua ngumu sana kuomba game.
 
Umri mkubwa akili kisoda hujitambui umekazana na kuandika "Wanawake bwana" acha dharau.
Sawa mama mwenye akili zako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Unadhani sisi tuna roho kama yako? Tumeku-support na kukufunza namna ya kubehave. Hivyo umepata followers and you've learned your lesson the hard way.
How hard๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
It was an easy breezy journey mama
Wewe ndio umehangaika Nami
Mimi.nimetulia napata viewers

Sasa baada ya kugundua ulichofanya umeninufaisha ndio unakuwa mpole๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Endelea mama, kuna watu hapa watapata gawiwo Lao ivooo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hamna mtu kamwe anayefanikiwa kwa njia ya kuwashusha wengine ili yeye aonekane bora.
We umempandisha Nani?!
Alafu anti mbona kama unajirudi tena?! Endelea spidi uloanza nayo why are u slomo now??

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Bibie wewe nitakupa kiki kesho. Kaandae dinner muda umeshaenda.
Mmeongea weeeee baada ya kuona mmeonekana mazuzu sasa mnaenda kupika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kweli kama wanaume wanavyosema, Money Penny utabaki kuwa Juu, Juu Juu Sana kama Pierre ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
I know and I thank u
Majinga wanadhani kupendana mpaka tupigane dyu dyu ndio akili za wanawake wengi
Ila kuna akina mama ambao bado hamjawapenda ambao hawavutii kwenu ndio roho zinawauma wanatukana mwanzo mwisho tangu Asubuhi mpaka sahivi bila kutumia akili
Wakati mtukwanaji anaingia pesa
Dudu upigwe mara ngapi? Njoo unipe Tena sikuachi Tena unajua navokupenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chiiii ume nifanya niende instagram kutazama kibuyu cha Mshana kinavo fanania
daaah wabongo Salute

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
Another one ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Mpendwa inawezekana hii nikoment Jf apate followers ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
KWasababu ya company yake, company yake ni Me so hata fikra zake na maandishi yake lazima vifanane nasi.
Nje ya topic; hivi ukiwa na urafiki na mwanamke kwa muda mrefu, siku ikitokea unataka akupe game unafanyaje kumuomba? Nahisi mnakua mmezoeana sana and hence kua ngumu sana kuomba game.
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
tuliza mchecheto bibie nime enda kuku angalia insta una fananaje siwez kufollow acc yako maana haija nivutia bali ile comment ya kwamba kuna kibuyu kama cha mshana jr ndo ilio nipeleka kule
Another one
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Back
Top Bottom