Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.
Picha ya zamani umeimezesha maneno
Yapi hayo? Unaongelea waliokwenda kumzomea Magufuli ila wakajikuta wanamalizia kwakumshangilia? Kaa mbali na kichwa cha Magufuli, yeye ni zaidi ya vichwa vya viongozi wenu kumi wa Ukawa akiwemo na Lowasa na Mbowe. He knows knows how to turn a challenge into an opportunity.
Hahaha kwahuyo mtuwenu halipo hilo
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.