Mapirobe
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 683
- 117
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.
Hongereni sana.Msije mkawa mnajiliwaza tu
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.
Walisema lini?.
Wanajitambua hao wakazi
hahahahahahaha ... mtafukua hadi mapicha ya karne ya kumi na mbili ... Mwaka huu CCM wanangolewa kama mihogo ...
chana cha umaskini na ufukara kwa watanzania. Chama ambacho kimeuza nchi aliyoikomboa kwa gharama kubwa mwl nnyerere? Sio hii ccm ya leo hii ya leo ni ccm ya wauaji walaji na mafisadi
hahahahahahaha ... mtafukua hadi mapicha ya karne ya kumi na mbili ... Mwaka huu CCM wanangolewa kama mihogo ...
Yaliyowakuta Mbeya... Monduli ni zaidi ... CCM out ...
Wanajitambua hao wakazi
Mimi najua Magufuri amecherewa kuutembelea mkoa wa Arusha kwa sababu zinahitajika fedha nyingi za kuwatoa wahudhuriaji mikoa jirani ya Shinyanga, Mara, Simiyu n.k.Ongea nao, wakazi wa Monduli wanajua wanachafanya, Magufuli hadi Monduli.
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.