HUJANIELEWA!Kwa hiyo ww unaweza amin habari kisa source yake ni ANONYMOUS ID ? habari ambayo haina specific source.Mfano humu jamii forum ID zetu wote ni fake lkn mtu akileta habari,hataka asipoweka evidence lkn hata mtiririko wake na vyanzo vake ni TANGIBLE,sasa wewe habari zote za kimbeya vyanzo vyake havipo specific,utasikia CHANZO CHA MTU ALIYE KARIBU au CHANZO CHA UHAKIKA.Ujue sometimes unaweza ukakuta unaleta mfarakano au hata kuua mtu kisa habari yako ni chanzo cha karibu,chanzo cha uhakika au from ANONYMOUS ID.Habari from ANONYMOUS ID huwaga naiona ya ukweli endapo utanipa TANGIBLE EVIDENCE vinginevyo ni uzushi.
AHAHAHHAA sa hiz FUNDIIIII!Kama alisema hivyo kadanganya. Diamond tena anaonekana siku hizi anaziweza vizuri pombe. Before Pombe zilikua zinamshinda nguvu.
What if wewe sio chanzo cha Uhakika ? Manake dada yangu ktk comment yake umehukumu,mpaka uka declare anguko lake as if wewe ni mungu.Mimi nikuambie kitu mimi ktk familia yangu ni mtoto wa kiume wa pekee kati ya watoto wanne na habari za kimbeya nazijua sana na huwezi nidanganya na habari nyingi ninazopewa na dada zangu mara nyingi ukichunguza unaona upuuzi mtupu.HUJANIELEWA!
wat if mimi ninayeandika hapa nikawa ni CHANZO CHA UHAKIKA niliyena ANONYMOUS ID!
ndo ilikuwa maana yangu!
Kama ana home bar, basi anywe nyumbani. Lakini hizi za kunywa na group la watu na unawanunulia ni shida tupu. Hela huwa inakata kama utani.Nimekupata Mrs Van
SAWAWhat if wewe sio chanzo cha Uhakika ? Manake dada yangu ktk comment yake umehukumu,mpaka uka declare anguko lake as if wewe ni mungu.Mimi nikuambie kitu mimi ktk familia yangu ni mtoto wa kiume wa pekee kati ya watoto wanne na habari za kimbeya nazijua sana na huwezi nidanganya na habari nyingi ninazopewa na dada zangu mara nyingi ukichunguza unaona upuuzi mtupu.
Yes hiyo ni mbaya. Na pombe ukiendekeza haina mwisho mzuri halafu ukiendekeza ukubwani ndio balaa.Kama ana home bar, basi anywe nyumbani. Lakini hizi za kunywa na group la watu na unawanunulia ni shida tupu. Hela huwa inakata kama utani.
[emoji1]Wewe mbona umefuatilia?
Ana uaminifu gani?? nyie ndo mlikua mnakaa nae 24seven? jamani mbona mnamwonea D? watu wanabeba siri zao mmeshamsikia D akisema lolote kwa sbb alimuheshimu na labda hata hii ya ktk nje pia ilikua na sbb kwani kaanza nae leo?? mbona haku mcheat huko nyumaha ha ha mtu keshachanganyikiwa tayari, malipo ni hapa hapa duniani..Hakuna kitu kibaya kama mwanamke mwaminifu akikuacha kwa sababu tu ya uhuni wako.
Huu umbea umeupaka polish mpaka umekuwa kama plaint.ana anguko ambalo upande mmoja analiona upande mwingine hawezi kufanya chochote!
its like unazama na unaona kabisa unazama yet hakuna kitu unaweza fanya!
WASAFI TV NI KAMA HAIPO!
IMEISHA KABLA HAIJAANZA!,analiona
WIMBO KAMA KWANGARU ULIVO MZURI USINGETEGEMEA HUU MWITIKIO!,analiona!
ZARI KUMUONYESHA AMEMOVE ON(though naye nina mashaka lakini wel we unajua wanaume WASIVOTAMANI KUONA EX WAO WAKIWA SAWA BAADA YA BREAKUPS),analiona
MEDIA NI KAMA ZINAMPOTEZA HIVI,analiona
MIKATABA NI KAMA INAPOTEA AU KAMA HAIPO(BELLAIRE usifkr walichukulia poa brand yao kuhusishwa na video za kifala only to kumkomoa mtu,)analiona
mamake hayuko sawa nae,NA UNAJUA HUYU DOGO NA HUYU MAMA WALIKOTOKA NA AINA YA MAISHA YAO(kiukweli mkamawana na mama wanapokosana anayeumia ni mwanaume,huku kuna mamake huku kuna mkewe.HAMISA HANA CHA KUPOTEZA!SHE JUST WANT TO PROVE ALL THEM WRONG KUWA NASEEB HAMPENDI!SASA KWENYE HILO NAONA KABISA ALIVYO RADHI KUFANYA CHOCHOTE ILI WOTE TUFELI NA YY AWE MSHINDI!
NA TUMEFELI KIMSINGI! ILA MASKIN TUNAFELI NA TUNAFELI NA NASEEB AKIWA AMEBAKI A BOY FROM TANDALE KIKWELI!
SO HAKUNA MWANADAMU ALIYEZOEA FAME ANAPITA HAPO SALAMA!
hamisa alifaaa kuwa mwanamke wa kumpa mauno tu kitandani kama alivokwisha mbrand(EVERYONE HAS MAHALI PAKE KUNAMKUNA )
kumfanya MAIN CHICK AMEBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUGI!
domo anabid atulie ...lakin ile nyimbo ya Kwangaru alivyokuwa anachezesha tukalio twake ..niliona domo ameanza kudata.Taarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana kwamba hatua ya Mond kuondoka madale ni baaada ya mama mzazi huyo kukutaa uhusiano wa Mond na Hamisa,kwani kwa sasa wamerudiana.Mama Mond anaamini mwanae kwa sasa amepigwa misumali kwani tangu atoke white house madale anaishi nyumbani kwa kina mobeto na amekuwa mnywaji kupindukia.
Nitarudi tena.
Nini maana ya madale hata sijakuelwaTaarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana kwamba hatua ya Mond kuondoka madale ni baaada ya mama mzazi huyo kukutaa uhusiano wa Mond na Hamisa,kwani kwa sasa wamerudiana.Mama Mond anaamini mwanae kwa sasa amepigwa misumali kwani tangu atoke white house madale anaishi nyumbani kwa kina mobeto na amekuwa mnywaji kupindukia.
Nitarudi tena.
Diamond mimi nilizungumza humu ndani,kitendo cha kuachana na Zari kitamgharimu sana,yule dada anajielewa na ndio maana walipokuwa naye alikuwa anakwenda vizuri sana,alimshep up vizuri na watu walimuheshimu tofauti na sasa...ana anguko ambalo upande mmoja analiona upande mwingine hawezi kufanya chochote!
its like unazama na unaona kabisa unazama yet hakuna kitu unaweza fanya!
WASAFI TV NI KAMA HAIPO!
IMEISHA KABLA HAIJAANZA!,analiona
WIMBO KAMA KWANGARU ULIVO MZURI USINGETEGEMEA HUU MWITIKIO!,analiona!
ZARI KUMUONYESHA AMEMOVE ON(though naye nina mashaka lakini wel we unajua wanaume WASIVOTAMANI KUONA EX WAO WAKIWA SAWA BAADA YA BREAKUPS),analiona
MEDIA NI KAMA ZINAMPOTEZA HIVI,analiona
MIKATABA NI KAMA INAPOTEA AU KAMA HAIPO(BELLAIRE usifkr walichukulia poa brand yao kuhusishwa na video za kifala only to kumkomoa mtu,)analiona
mamake hayuko sawa nae,NA UNAJUA HUYU DOGO NA HUYU MAMA WALIKOTOKA NA AINA YA MAISHA YAO(kiukweli mkamawana na mama wanapokosana anayeumia ni mwanaume,huku kuna mamake huku kuna mkewe.HAMISA HANA CHA KUPOTEZA!SHE JUST WANT TO PROVE ALL THEM WRONG KUWA NASEEB HAMPENDI!SASA KWENYE HILO NAONA KABISA ALIVYO RADHI KUFANYA CHOCHOTE ILI WOTE TUFELI NA YY AWE MSHINDI!
NA TUMEFELI KIMSINGI! ILA MASKIN TUNAFELI NA TUNAFELI NA NASEEB AKIWA AMEBAKI A BOY FROM TANDALE KIKWELI!
SO HAKUNA MWANADAMU ALIYEZOEA FAME ANAPITA HAPO SALAMA!
hamisa alifaaa kuwa mwanamke wa kumpa mauno tu kitandani kama alivokwisha mbrand(EVERYONE HAS MAHALI PAKE KUNAMKUNA )
kumfanya MAIN CHICK AMEBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUGI!
maisha ya waaanii bana... Leo hili kesho Lile...
Halafu unakuta mtu aliyeleta huu umbea ni mwanaume! Na kuna watu wanajidai hapa wanamjua sana Domo kumbe hawana lolote,wivu tu na kumtakia mabaya...Dai hanywi pombe na hatarajii kunywa..!!