Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,669
- 698,640
Na juhudi piaThus tunasema kupata sio ujanja bali ni wakati ukifika kila unachogusa kina tiki
Na juhudi piaThus tunasema kupata sio ujanja bali ni wakati ukifika kila unachogusa kina tiki
Una maana gani mkuu?Mtoto wa dandu anatetemeka huko kabulini kusikia kuwa mtoto wake wa kiume naye anapelekewa moto na mwanaume mwingine mpaka analalamika taratibu unaniumiza
Kua Mwalimu wewe unayelia kila siku una maisha magumu (rejea posts zako) unaweza ukamuajiri Monalisa na Ukoo wangu mzimahamna mbwembwe ,awalimu ni ajira tu kuna maisha mengi nje ya ualimu, ficha mdomoni kauli zako si kila mwalimu ni fala
Kabisaaa,Alipotoka ni mbali na aliyopitia ni mengiView attachment 2554881
Ni kabla kabisa ina almost three weeksHyo taarifa ya mtoto wake ni ya lini?? Mbona kuchafuana?
Umeshatolewa kwenye reli na tayari umesha wekwa kwenye angle ya kujitetea na kujieleza😃Haitokei kamwe.
Mtu anayetetea mashoga huwa simuelewi kabisa. Walio wengi huwa wanakuwa washaharibiwa.
Nikimpenda tangu kipindi kile yupo Mambo Hayo
MWIGIZAJI Mtanzania Yvonne Cherrie, maarufu kama ‘Monalisa’ ameshinda tuzo ya kimataifa Emmy Kids 2022 katika series ya ‘My Better World Show’ kwa kuingiza sauti kwa lugha ya Kiingereza.
Baada ya ushindi huo, Monalisa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram ameandika “Miaka minne iliyopita, nilikuwa mmoja wa waigizaji tuliochaguliwa kuingiza sauti kwa lugha ya Kiingereza katika series ya My Better World Show ambapo mimi binafsi nilitia sauti ya wahusika watatu.
Napenda kukujulisha kuwa, series hiyo imeshinda moja kati ya tuzo kubwa sana duniani, tuzo za EMMYS 2022, katika Kipengele cha International Emmy Kids: Entertainment and Factual. Na usiku wa jana tulipata wasaa wa kukutana CAST and CREW ili kusherehekea ushindi huo.”ameandika Monalisa.
Amemaliza kwa kuandika “Sio mbaya ukaanza kuniita Emmy award winner voice over artist. Hongera kwa Timu nzima kwakweli, maana ni kazi kubwa iliyoshirikisha watu mbalimbali wa nchi mbalimbali za Afrika.”