Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Kada wa Chama cha ACT Wazalendo Monalisa Joseph Ndala amepinga vikali kuvuliwa kwake uanachama kupitia taarifa iliyotolewa na uongozi wa chama hicho Tawi la Mafifi mkoani Iringa
Akizungumza na wanahabari leo Agosti 30, 2025 monalisa ameeleza kuwa taarifa hiyo sio sahihi kwani yeye ni mwanachama aliyesajiliwa mkoani Dar es Salaam
Soma: ACT Wazalendo Tawi la Mafifi Lamfuta Uanachama Monalisa Joseph Ndala
Hata hivyo Monalisa ametoa siku mbili kwa Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo kutoka hadharani na kuikataa barua iliyotolea na uongozi wa chama hicho tawi la Mafifi huku akisisitiza kuchukua hatua
Monalisa anaendelea kusisitiza kuwa chama chake hakikufuata utaratibu katika uteuzi wa mgombea Urais wa chama hicho Luhaga Joelson Mpina.
Akizungumza na wanahabari leo Agosti 30, 2025 monalisa ameeleza kuwa taarifa hiyo sio sahihi kwani yeye ni mwanachama aliyesajiliwa mkoani Dar es Salaam
Soma: ACT Wazalendo Tawi la Mafifi Lamfuta Uanachama Monalisa Joseph Ndala
Hata hivyo Monalisa ametoa siku mbili kwa Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo kutoka hadharani na kuikataa barua iliyotolea na uongozi wa chama hicho tawi la Mafifi huku akisisitiza kuchukua hatua
Monalisa anaendelea kusisitiza kuwa chama chake hakikufuata utaratibu katika uteuzi wa mgombea Urais wa chama hicho Luhaga Joelson Mpina.