Mombasa City Bus Terminal..

game over

JF-Expert Member
Jan 1, 2016
10,387
23,298
Pictures taken by Me today Morning during My dispatch,
034e4c4a-9d59-4249-98a4-79e6841efc0c.jpg
a54d933c-36c8-43b0-8797-e3ec915fff89.jpg
9b78b29f-4b9c-42cd-8d06-b907f5365ae7.jpg
034e4c4a-9d59-4249-98a4-79e6841efc0c.jpg
 
This issue of Kenya being a Middle Income Country really pisses Bongolalas... hawaelewi jinsi wao ni LDC ..
 
There are rumours that umeenda huko kuuza mk****. Refute it na evidence pliz.
Watz wanapenda Mombasa sana.
Ali kiba ommy dimpoz aslay queen ni hawakauki huko

Hahaha, Wachana na Maneno ya Wakora, Nimeenda Msa na Mke wangu aisee, Ndio maana nimekuwa mpole kidogo this time..
 
Alafu ukishikwa ukipiga mipicha useme polisi wa Kenya wana maonevu! Utafinywa k**de kabla udhibitishe wewe sio shababu!!

Kenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,
 
Kenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,
You & that imbecile above Victor wa happy elezeni maana ya failed state.
Mlienda shule kusomea udaku na matusi
 
Kenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,

Umbea kweli! Dumejike wakati umekaribishwa unakula, kulala na kunywa kwa mwenyeji. Kama hivi ndivyo wanaume wa bongo walivyo inasikitisha
 
Umbea kweli! Dumejike wakati umekaribishwa unakula, kulala na kunywa kwa mwenyeji. Kama hivi ndivyo wanaume wa bongo walivyo inasikitisha

Wewe bwege nimekuja kwa pesa yangu nimekaa hotelini, Nimekula bata na kurudi sijakaribishwa na Mkenya, hakuna mkenya anayeweza mkaribisha mtu, Nyie somo la ukarimu lishapitaga kushoto, Uncivilized fellas,
 
Wewe bwege nimekuja kwa pesa yangu nimekaa hotelini, Nimekula bata na kurudi sijakaribishwa na Mkenya, hakuna mkenya anayeweza mkaribisha mtu, Nyie somo la ukarimu lishapitaga kushoto, Uncivilized fellas,
Kha! Mbona ukaamua kupost negative pekee si unge post na hotel unayokaa .hater!
Halafu hujasema ulienda kufanya nini huko ungebaki huko paradiso yenu kama Mombasa hakukupendezi
 
Back
Top Bottom