There are rumours that umeenda huko kuuza mk****. Refute it na evidence pliz.This is the Upcountry bus terminal in the 2nd Largest City in Middle Income Country, Kenya
View attachment 1094476
Alafu ukishikwa ukipiga mipicha useme polisi wa Kenya wana maonevu! Utafinywa k**de kabla udhibitishe wewe sio shababu!!This is the Upcountry bus terminal in the 2nd Largest City in Middle Income Country, Kenya
View attachment 1094476
There are rumours that umeenda huko kuuza mk****. Refute it na evidence pliz.
Watz wanapenda Mombasa sana.
Ali kiba ommy dimpoz aslay queen ni hawakauki huko
Alafu ukishikwa ukipiga mipicha useme polisi wa Kenya wana maonevu! Utafinywa k**de kabla udhibitishe wewe sio shababu!!
You & that imbecile above Victor wa happy elezeni maana ya failed state.Kenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,
Kenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,
Umbea kweli! Dumejike wakati umekaribishwa unakula, kulala na kunywa kwa mwenyeji. Kama hivi ndivyo wanaume wa bongo walivyo inasikitisha
You & that imbecile above Victor wa happy elezeni maana ya failed state.
Mlienda shule kusomea udaku na matusi
Kha! Mbona ukaamua kupost negative pekee si unge post na hotel unayokaa .hater!Wewe bwege nimekuja kwa pesa yangu nimekaa hotelini, Nimekula bata na kurudi sijakaribishwa na Mkenya, hakuna mkenya anayeweza mkaribisha mtu, Nyie somo la ukarimu lishapitaga kushoto, Uncivilized fellas,
Ndivyo walivyo hawa. Huwezi watofautisha na wanawake marikitiniUmbea kweli! Dumejike wakati umekaribishwa unakula, kulala na kunywa kwa mwenyeji. Kama hivi ndivyo wanaume wa bongo walivyo inasikitisha
Bila shaka ww ni mkazi wa Mombasa, thread imekuuma sana aise, lots of cursing.Ndivyo walivyo hawa. Huwezi watofautisha na wanawake marikitini
Wambea sana
Hua naskia barabara zao ni classic mbona naona urojoPictures taken by Me today Morning during My dispatch,
View attachment 1094470View attachment 1094471View attachment 1094472View attachment 1094473
Ndivyo walivyo hawa. Huwezi watofautisha na wanawake marikitini
Wambea sana
Bila shaka ww ni mkazi wa Mombasa, thread imekuuma sana aise, lots of cursing.