Mom Puts Hidden Camera in Living Room and Catches Dad Doing this while Wife is Not Home!!

Hilo jamaa nimelikubali aisee, hapo madogo wanampenda dingi si mchezo.

Safi sana, yaani hata dogo akizinguliwa sehemu lazima baba asimuliwe.
 
Tatizo linakuja pale baba kama huyu anapofariki ni taabu kwa watoto daima huukumbuka upendo huo na inakuwa ngumu kumsahau, ni shida kwa kweli
 
mkiongelea kuhusu baba huwa ninalia sana utafikiri amefariki leo. Hakuna mtu dunia hii alikuwa rafiki yangu kipenzi kama baba yangu
hongera wengine hata baba akifariki hatujali, kutokana na mazingira aliyoyajenga.
 
mkiongelea kuhusu baba huwa ninalia sana utafikiri amefariki leo. Hakuna mtu dunia hii alikuwa rafiki yangu kipenzi kama baba yangu
Huwa hawaishi muda mrefu hao mkuu, wanatuonyesha upendo na kupita, badala ya kulia ni kuwaombea dua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom