Moja ya jambo gumu katika maisha ya binadamu ni kuaminiana

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
point%2Bfingers.JPG


SWALI KWANINI HATUAMINIANI?
 
Kila mtu anajambo analoliwaza moyon mwake, na hakuna anayeweza kuona moyon mwa mwingine na kujua anawaza nini, laiti ungekuwepo uwezekano wa kuona mawazo ya moyo wa mwingine tungeaminiana.
 
tatizo ni pale mpenzi mmoja kijulikana kwa mwenzie kamdanganya kitu hata iwe kidogo
 
Kila mtu anajambo analoliwaza moyon mwake, na hakuna anayeweza kuona moyon mwa mwingine na kujua anawaza nini, laiti ungekuwepo uwezekano wa kuona mawazo ya moyo wa mwingine tungeaminiana.

kweli kabisa. Natamani
Moyo ungekuwa na kioo.
 
Back
Top Bottom