Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,205
Katibu mkuu wa wizara ya afya prof Abel Makubi amefanya ziara ya kushitukiza kwenye hospitali ya taifa ya muhimbili kitengo cha mifupa MOI na kukuta mashine za MRI na CT scan zimeshaharibika na hazifanyi kazi kwa muda mrefu hivyo wagonjwa huelekezwa waende kupata matibabu kwenye hospitali za watu binafsi.
Prof Makubi ametoa masaa 48 kwa uongozi wa hospitali hiyo kuweza kurekebisha hali hiyo na waanze kuhudumia wananchi kama kawaida.
Prof Makubi ametoa masaa 48 kwa uongozi wa hospitali hiyo kuweza kurekebisha hali hiyo na waanze kuhudumia wananchi kama kawaida.