Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
Hwasha,Mtoa mada alikuomba ueleze historia yake tangu utoto,fani zake na watoto wake.Umeelezea kipindi cha miaka kumi tu cha uongozi wake. Kwa umri wa mzee wetu Mwinyi hii ni asilimia ngapi ya hisoria yake?
Ninadhani uliyoyaacha yangesaidia wanetu kujifunza njia ya kupita bila shari kufikia kiwango cha juu kabisa cha uongozi wa nchi yetu.
Una haki zote na fikra zako kama mimi nilivyo na haki na fikra zangu.
Maisha ya Ali Hassan Mwinyi yasingekuwa na lolote la kuandika kama
si hiyo miaka 10 ya utawala wake kama rais wa Tanzania.
Kwangu mini historia yake hapo ndipo inapoanza.