babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,288
rip mtabe wa physics..,daima utakumbukwa umesaidi vijana wengi kutimiza ndoto zao..,pumzika blaza
Umeuliza kwa nani?Ni confirmed nimeulizia wanasema alikuwa anasumbuliwa na kifua na kwikwi, maziko kesho mwandege saa 7 mchana, RIP.
Tuliofatia tulikuwa na Busanji Physics,Mkandawile Chemistry na Mama Shija Biology.
R.i.P Commissioner
Since day one Mchikichini up to Msimbazi Center Ilala Boma
Yah Man, Bwana mdogo anasema... #Problem nu1...
Daima sana, Wadau na member wote tutakukumbuka #TeamCalculating Device, #KingKong #DJ manywele #Dr. #Bench#1, #2 #3 Backbenchers, #Team Mlangoni nk
Mbuga bios.
"yah man nyinyi tulikuwa tunazungumzia habari gani"R.i.P Commissioner
Since day one Mchikichini up to Msimbazi Center Ilala Boma
Yah Man, Bwana mdogo anasema... #Problem nu1.
Daima sana, Wadau na member wote tutakukumbuka #TeamCalculating Device, #KingKong #DJ manywele #Dr. #Bench#1, #2 #3 Backbenchers, #Team Mlangoni nk
Hao ni WAPUUZI waliochangamka.Watu muhimu nchi wanaonekana ni kina mondi gigy konde
Ova
Msiba utakuwa wapi Mkuu.?
Magomeni.?