mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,912
- 132,230
Hahaha nlikuwa namuziaga calculator scientific za kunjuga tu usomi wapi bwana sisi wengine wazee wa mitkasi tukumbe na wewe msomi




Ova
Hahaha nlikuwa namuziaga calculator scientific za kunjuga tu usomi wapi bwana sisi wengine wazee wa mitkasi tukumbe na wewe msomi




Ambao hatuna degree au kwenda chuo humu mm na wewe humu jfjf ni ya wasomi bwanaa weee



Hahaha kmbe we ulikumbia umande kama mmtulio kimbia umande hata hatumjui.. ila inaonekana kagusa maisha ya wasomi wengi sana



Safi sana kiongoz, nilitamani niwepo assehusiongee usichokijua,Moddy physics kafundisha sana watu bure,na alikuwa na masaa mawili jion kufundisha topic mbili mkilasiku ,na watoto wengi wa hali yachini tuliponea hapo na hata hivyo bado aliwasaidia baadhi ya watu wakawa wanasoma free, usitengeneze bias kwakuwa wewe ulipitia pabaya, MODDY KATUFUNZA MENGI,MUNGU AMREHEMU.....Na nimeenda kumzika leo mwandege-Vikindu, Mwalimu wangu wa muda wote

Hahaha shkran mkuumierole model wangu ni wewe






i.Hasa wasomi wa physicsTuliokimbia umande hata hatumjui.. ila inaonekana kagusa maisha ya wasomi wengi sana
.....apumzike kwa amaniMimi Makumaku nimemjua sababu ya Busanji. Mkanda boy nasikia anamiliki shule maeneo ya Pugu kama sikosei.Makumaku sikuwahi kusoma kwake huyu alikuwa wa Bios nadhani. Nilikuwa nasikia tu habari zake.Hivi Mkandawile yupo wapi ?
Jamaa alikuwa kichwa sanaHasa wasomi wa physics.....apumzike kwa amani
AmenHasa wasomi wa physics.....apumzike kwa amani
Harakati za maisha acha tu.. kila mtu ana story yake 😀😀Hahaha shkran mkuu
Mm pia role model wangu ni wewe
Ila mudy nmemuzia sana gadgets fulani za kupiga
Ova
Bora haujawa propesa.. unge fail aisee.. kama ma propesa wengine wa bongo 😀😀Hahaha kmbe we ulikumbia umande kama mm
Ila ningeenda chuo naona sahv Ningekuwa professor
Ova
Sio tuli fail wapi asiee😀😀Ambao hatuna degree au kwenda chuo humu mm na wewe humu jf
Ova