Huyu anajitapa kujenga mashule kule singida na kucheza ngoma za kinyiramba kumbe ni mchafu anataka kuleta EPA nyingine wakati hata ile ya kwanza hatujasahau.
Ana bahati hapo ni Tanzania ingekuwa nchi nyingine ambazo maslahi ya nchi yako mbele ungefanywa mpango wa kufuatilia hata hizo alizo nazo sasa na kumfilisi tu. Wahindi wanakaa kuangalia mianya ya kunyonya tu ili warudi kwao matajiri wakati sisi tunakufa njaa hapa na wanafanya hivyo bila ya huruma yoyote. Huyo mwanasheria naye aliyesimamia hiyo kesi anahitaji kuchunguzwa maana alifanya maamuzi kwa shinikizo la fedha.