Mohamed Trans laua Polisi watano!

Mohamed Trans laua Polisi watano!

ndyoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,971
Reaction score
1,653
Basi la Mohamed Trans limehusika kwenye ajali na gari dogo lililokuwa limebeba askari polisi na kuwauwa watu watano ambao wote ni askari polisi.

Askari hao walikuwa wanatoka kwenye sherehe yao muda wa saa 11 asubuhi ya leo eneo la mtumba nje kidogo ya manisapaa ya Dodoma.

Chanzo cha ajali bado hakijajulikana.

Mtaendelea kujulishwa zaidi.
 
Mmmmmmmh! Maaskari police watano? Wapumzike kwa Amani!
 
Walikuwa wanatoka kwenye sherehe? Ilikuwa haina kilaji?
 
JK atangaze mapumziko kuomboleza bana...msiba huu ni mkubwa sana na wa kitaifa aisee
 
Don't Drink and Drive


Rest In Peace Police Wetu, Poleni Wafiwa.
 
Leseni mpya ndio zimezidisha zaidi ajali,tofauti na tulivyoambiwa wakati wa uzinduzi wake
 
Walikuwa wanatoka kwenye sherehe? Ilikuwa haina kilaji?

Mkuu sidhani kama sherehe ya kurudi alfajiri itakosa kilaji, hapo lazima walikua na mning'inio.!!

R.I.P. Maafande.!
 
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu
 
Hakuna mwaka unao pita hivi hivi bila kusikia bus za mohamed trans zimehusika kuua...hii kampuni sijui ni ya majini? wanapenda kuona damu za watu zinamwagika sana.
 
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu

Duh!😱 hatari namna hii.
Hiyo saa 11 hilo bus lilikuwa linatoka wapi? Maana sie Sumatra tujuavyo mabasi yanaanza safar kote nchini saa 12 alfajiri.
 
Poleni wafiwa. Tunasubiri mtupe habari zaidi wenzetu mlio karibu na eneo la tukio.
 
Back
Top Bottom