Samwel Jr
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 1,278
- 906
😄😄😄 mkuu mzumah?Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
😄😄😄 mkuu mzumah?Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
yametimia.............Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.
Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .
Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .
Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
Hakika!yametimia.............
Mkuu kwemaNiliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
Mkuu kwemaMbona hakuipa Ubingwa Chelsea
Una maono mazuri sanaWinga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.
Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .
Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .
Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
Shukrani mkuuUna maono mazuri sana
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.
Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .
Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .
Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
Bado unaendelea kuangalia ?Ngoja niangalie usajili wa Arsenal na Mimi nitabiri
sasa hivi unalia kwa aibu kwa pumba yako hii 😁😁😂😂Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
😆😆😆😆Kitu ambacho hujui ni kwamba Roma wanakikosi kizuri na balanced kuliko livapunga, kama upo tayari sema tuende mchezaji mmoja mmoja
Wana tano mpaka sasa, imagine mimi ni chelsea mmewangu ni liverpool emu nambie baada ya kuchek mechi familia itakuwa na hali gani
Raha ndogondogo hizi mkuu
Vipi mkuu bado una msimamo wako?Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.
Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika