amu sogea kipande hiki kuna matokeo
Kwa jinsi matokeo yalivyo,usijisumbue kuangalia.Afadhali uumalize mwaka huu kwa furaha uliyonayoahsante d ila mie ni module f na nimeshasema siangaliii ng'oooo mpaka mwaka mya uishe.
Embu niambie watu walishapanga mizawadi ya kunipa nikivaa joho la bodi sasa nikikuta ndivyo sivyo nitasemaje????na zawadi ndo nitakosa kabisa.
Wote tuliokuwa kuwa nao review wamekamatiwa mpaka sasa hata aliyeclear sijamsikia.
Ha ha nahisi ni mie peke yangu nlieclear.
Yani hapa we acha ntashinda chit chat mpaka mwaka uishe kuondoa msongo wa mawazo
sasa wandugu kama sitting ya masomo 6,matokeo yanakuwa hivi!
je mtaala mpya wenye masomo kumi matokeo yatakuwaje?
kwa ni? module E & F sindio kuna masomo 6we umeona wapi hayo masomo 6????
kwa ni? module E & F sindio kuna masomo 6
- international finance
- public finance& taxation
- financial report
- auditing & assurance
- management & control accounting
- contemporary accounting
sasa kwa taarifa yako kama bado uja clear ata moja ,unaweza ukawa na safari ndefu sana
Kwa waliofanya mitihani ya bodi ya uhasibu matokeo tayari
Wakuu,je ya Bodi ya Wagavi(psptb) yanatoka lin?
Wakuu,je ya Bodi ya Wagavi(psptb) yanatoka lin?
yanatoka leo!!!!