Modern Toilet

Mpagama

Senior Member
Jan 9, 2011
127
7
Kwa matumizi ya binadamu, hiki ni choo bora au bora choo?
 

Attachments

  • 15.jpg
    15.jpg
    32 KB · Views: 264
Hapo sasa ukute umeshautwika mtindi ile kisawasawa lazima haja kubwa uimalizie nguoni.
 
hiki choo km upo keroro lazima umalizie shida yako hapo kwenye ngazi ya kwanza.......
 
Walemavu na wagonjwa hawakuwemo kabisa kwenye plan ya mjenzi wa hiki choo!
 
attachment.php


Tafadhali mtu unapoweka picha hakikisha umeikuza na inaonekana vizuri. Sio kuweka tu ilimradi umeweka.
 
Ole wako ukutwe na tumbo la kuharisha...!!!tehe tehe teheeeeeeeeeeeee kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom