Modern Thieves

toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.
 
toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.
 
toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.
 
Huko umeenda mbali mno. Nenda Bulyanhulu, North Mara, Buzwagi....Geita ndo nasikia wameshaanua. Wameichimba kwa spidi hata kipindi kilichokadiriwa kuwa itaisha hakikufika.
 

Ww watu wanatunza dhahabu kama asset na sio lazima mue na machimbo akili za kukariri hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…