toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.