Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Wakuu naomba kujua kama hizo modem za tiGO zina chakachulika ili ni wanunulie vijana wangu wajimwage na Airtel,
wamezishusha bei hadi TSH 30,000.
jinsi ya kuchakachua.
View attachment 24558
Jaribu hii hapa
View attachment Modem Unlocker.rar
wamezishusha bei hadi TSH 30,000.
jinsi ya kuchakachua.
Wakuu,
Kwenye kuchakachua Modem ya tiGO kazi ni nyepesi tu, ni hatua tatu tu modem yako itakuwa unlocked... fata maelezo yangu hapa chini, mstari kwa mstari.
1. Install hiyo Modem kwenye computer yako. Ni vema line ya Tigo iwe ndani.
2. Download hilo attached file (chini ya hii post), then li-unzip........ ukili-unzip utakuta vi program viwili, Modem Code Writerna Universal master code.
Anza na kufungua Modem Code Writer. Ni ka aplication simple tu, katakusaidia kusoma version ya software ya hiyo modem na IMEI yake. Tunacho hitaji sisi hapo ni IMEI tu.
Ukikafungua hako ka-aplication (Modem Code Writer) katatokea ka-window, na kwa chini kuna mistari miwili, mmoja umeandikwa Please select Com Port na mwingine umeandikwa Unlock Modem.
Click kwenye Please select Com port , then select Detect, hapo itatokea Port number modem ilipo, ichague hiyo Port na then click accept and then click Unlock Modem
Kama uliinstall modem yako vizuri na ukafata procedure zote, Kutatokea vitu vifuatavyo; Model namba ya Modem, software version na IMEI vitakuwa displayed kwenye hako ka-window, (hiyo IMEI tutaitumia kwnye step ya tatu hapo chini)......... na kitu cha pili katatokea ka-window kengine kadogo pembeni kenye sehemu ya kuingiza unlock codes(8 digits).... most cases kanakuwa na 8 zeros (00000000). Ukifika hapo simama kidogo, nenda hatua ya tatu.
3. Sasa fungua Universal Master Code..... kwa pale juu chagua Manufacturer wa modem yako (Nyingi ni Huawei).......Copy sasa hiyo IMEI tuliyoipata kwenye kale kawindow ka hapo step namba 2, na paste hapo kwenye sehemu ya kuweka IMEI then click Calculate..........Kulia hapo utaona Unlock code na Flash code......Copy hiyo Unlock code........Sasa rudi pale tuliposimama kwenye step 2, ka-paste hiyo unlock code kwenye kale kawindow kenye zero-zero, futa zile zero-zero weka hizo Digit nane za unlock code then click Unlock Modem......After few seconds itakwambia unlock success full.... hapo kazi itakuwa imekwisha, chomoa Modem yako weka line yoyote kuitest... Kazi itakuwa imekwisha!!!
View attachment 24558
Jaribu hii hapa
View attachment Modem Unlocker.rar