bukenyaimo
Member
- Oct 21, 2021
- 99
- 289
Tanzania ni moja ya nchi iilizofungua milango ili Makampuni mengi yaje kuwekeza nchini kwenye Sekta mbalimbali hususani Sekta ya Nishati.
Moja ya Kampuni hizo ni Kampuni ya Sola ya Engie ambayo zamani ilikuwa ikiitwa Mobisol. Kampuni hii yenye Makao Makuu yake Mkoani Arusha ni Kampuni ya Kitapeli iliyojaa wezi ukianzia kwa Mkurugenzi wake Mkuu Bwana Godfrey Mugambi raia wa Kenya.
Ni Kampuni ambayo inauza bidhaa zilizo na kiwango cha chini tena kwa bei ya juu. Mimi ni mmoja wa wateja wa kampuni hii ambapo waliniuzia mtambo wao wa sola na nikautumia kwa wiki moja tu na kuanza kunisumbua.
Jitihada za kupiga simu huduma kwa wateja zimeishia kupigwa danadana tu kwa kuambiwa mafundi watakuja kunirekebishia tatizo langu bila ya mafanikio na miezi mitatu sasa imepita.
Majuzi amekuja mfanyakazi wa Kampuni hiyo nyumbani kwangu eti anauliza kwa nini silipii huduma (natakiwa kila mwezi niwe nalipia Tsh.31,000), kwa kweli kidogo nimkate na panga maana nalipiaje wakati huduma sipati
Ashukuru nilipoingia ndani kufuata panga alikimbia.
Naiomba Serikali yangu tukufu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa Waziri wa Nishati Mheshimiwa Makamba kuifurusha nchini Kampuni hii kwani imekuwa ikitunyonya sana sisi wananchi wa kipato cha chini huku vijijini ambao bado huduma ya Umeme haijatufikia.
Watanzania wenzangu hasa wa vijijini tunaotumia Sola TUPAZE SAUTI KUIKATAA KAMPUNI HII YA KITAPELI YA MOBISOLI
Mheshimiwa Rais nakuomba kwa niaba ya Wananchi wanyonge ongeza juhudi ili vijiji vyote nchini vipate umeme wa Gridi ili tuondokane na UNYONYAJI tunaofanyiwa na Kampuni hii ya Mobisoli.
Moja ya Kampuni hizo ni Kampuni ya Sola ya Engie ambayo zamani ilikuwa ikiitwa Mobisol. Kampuni hii yenye Makao Makuu yake Mkoani Arusha ni Kampuni ya Kitapeli iliyojaa wezi ukianzia kwa Mkurugenzi wake Mkuu Bwana Godfrey Mugambi raia wa Kenya.
Ni Kampuni ambayo inauza bidhaa zilizo na kiwango cha chini tena kwa bei ya juu. Mimi ni mmoja wa wateja wa kampuni hii ambapo waliniuzia mtambo wao wa sola na nikautumia kwa wiki moja tu na kuanza kunisumbua.
Jitihada za kupiga simu huduma kwa wateja zimeishia kupigwa danadana tu kwa kuambiwa mafundi watakuja kunirekebishia tatizo langu bila ya mafanikio na miezi mitatu sasa imepita.
Majuzi amekuja mfanyakazi wa Kampuni hiyo nyumbani kwangu eti anauliza kwa nini silipii huduma (natakiwa kila mwezi niwe nalipia Tsh.31,000), kwa kweli kidogo nimkate na panga maana nalipiaje wakati huduma sipati
Ashukuru nilipoingia ndani kufuata panga alikimbia.
Naiomba Serikali yangu tukufu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa Waziri wa Nishati Mheshimiwa Makamba kuifurusha nchini Kampuni hii kwani imekuwa ikitunyonya sana sisi wananchi wa kipato cha chini huku vijijini ambao bado huduma ya Umeme haijatufikia.
Watanzania wenzangu hasa wa vijijini tunaotumia Sola TUPAZE SAUTI KUIKATAA KAMPUNI HII YA KITAPELI YA MOBISOLI
Mheshimiwa Rais nakuomba kwa niaba ya Wananchi wanyonge ongeza juhudi ili vijiji vyote nchini vipate umeme wa Gridi ili tuondokane na UNYONYAJI tunaofanyiwa na Kampuni hii ya Mobisoli.