stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
mkuu ilikua zamani enzi za fb saivi ziliisha. Unatumia device gan?
nokia 5130 exprec musics
mkuu ilikua zamani enzi za fb saivi ziliisha. Unatumia device gan?
Ivi chief ni security gan inaweza kuscan mpaka external kwenye android
Ebwana shukrani sana, kuna series (24) niliishia katikati nilishakata tamaa ya kumalizia season 8, lakini kwenye fztvseries kuna kila kitu, big up mkubwa,kwenye iphone AVI format inagonga kama kawaida.
Ngoja huu uzi nilifanyie kazi.
smartphone za siku hizi zinataka hd hazitaonesha vzur site hizo
Shukurani mkuu ndio nilikua najihangaisha hapa , ila kwa ku download movie quality ya kweli naikubali app ya show box japo movie zake ni zaidi ya 1.GB.
Mkuu huwezi kua apdate huu uzi uwe kwa android.au android kila kitu ni Play store.....:ranger:
power bank ?Na hiki kisimu changu cha 1340 MAH
Nahisi charge itaishia njiani
power bank ?
Mkuu unajua huu huzi unamiaka mingapi?Chief huo uzi wa free internet kwa simu nimesearch sijauona. Tafadhali naomba msaada.