Mobile spy Tanzania

Mobile spy Tanzania

playstore

Member
Joined
Dec 3, 2014
Posts
36
Reaction score
9
Nilisikia kwamba kuna huduma mspy imezinduliwa Tanzania kwa license ya 230,000.00. Je! Kuna ukweli wowote wadau?
 
Ndo manaake huwez kumspy mtu unaemwamini.

sasa si mfanye uataratibu wa kuachana tu, kama ndoa hamna imani ndani yake hiyo sio ndoa, we utaishia kuchepuka na yeye ataishia kuchepuka ...
 
sasa si mfanye uataratibu wa kuachana tu, kama ndoa hamna imani ndani yake hiyo sio ndoa, we utaishia kuchepuka na yeye ataishia kuchepuka ...

Sasa unapofanya maamuzi km hayo ni lazma ue na evdence otheryz huwez kueleweka.ts wt i wnt npate uhakika nw nahisi tu
 
Ukifanikiwa kumuacha au kupatwa na pressure utuletee mrejesho
 
Swali la msingi halijajibiwa. Inasikitisha sana. Sio kila mtu ana mtazamo kama wenu.
 
Back
Top Bottom