mobile operating system upgrade


Mkuu LEH. si kwamba namkataza mtu kufanya manual update..with iphone i agree it's easy to Jailbreak lakini kwa Android phones especially Samsung kidogo kuna ugumu,na baadhi ya walio_succeed ku-upgrade they admit how slow the phones are,compared to the desired effects..pia thru drippler nimejaribu kucheck katika forum nyingi, hata za Samsung wenyewe wanasema hivyo hivyo, ila ilikuwa ni ushauri tu mkuu.
 
Do this; Settings>About phone> tap Online updates, subiri wakati simu yako ina-check update availability! Kama hakuna updates "Your device is uptodate"....
Pia unatakiwa kujua kama simu yako ni 'listed' by your device manufacturer for update. According to GSM Arena Samsung Pro Y
Duos wont receive any update mkuu!

http://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_y_pro_duos_b5512-4371.php
 
Do this; Settings>About phone> tap Online updates, subiri wakati simu yako ina-check update availability! Kama hakuna updates "Your device is uptodate"....
Pia unatakiwa kujua kama simu yako ni 'listed' by your device manufacturer for update. According to GSM Arena Samsung Pro Y
Duos wont receive any update mkuu!

Samsung Galaxy Y Pro Duos B5512 - Full phone specifications
 
Firmware mpya zinahitaji RAM kubwa na kama simu yako ina RAM ndogo itakua very slow after updating! Kama anataka taste ya Android v4.0.3 (Ice Cream Sandwich) jaribu ADW Launcher.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…