Mo kununua timu FDL

Mo kununua timu FDL

Na wakikutana kwenye FA? Au kichwa hakijawaza hayo? Au wataikataza isishiriki?
 
SASA WATU NDIO WAELEWE KUWA MO anatamani sana AIMILIKI SIMBA.. ANATAKA KUTUMIA JINA LA SIMBA SPORTS CLUB ili kupiga mishe zake kibiashara..
Uzuri wa mashabiki tunapenda kuona mafanikio sio bakuli
 
Itakuwa kama barcelona wana barcelona B. Iko segunda division
 
Mashauri tuinunue Yanga ili tuwanusuru na ukata ulowakumba
 
Daaaaaaah ka Barcelona vile. Mana Barcelona wana timu B, ambayo ilikua kua inashiriki senguda A mwaka Jana ndo ilishuka daraja saizi ipo senguda B. Na kuna msimu ilipanda daraja wakauza right za timu.

"Ikiwezekana tuwanunue wale mashujaa wasianze kutusumbua Kwenye FA ( joking) "
"IGA ufe, This is the next level "
Waliuzaje right kwa mwingine
 
Mo watu waliomzunguka vilaza..hiyo hela ya kununua timu angejenga academy ...akusanye Vijana robo tatu wabongo na robo kutoka Africa nzima..baada ya miaka miwili itaanza kumlipa...
Miaka miwili!? Are you serious?
 
Kweli pesa imefikia huko na mijusi fc inashangiliaaa kweliii i can't wait pale atakapo rudi kununua wake zenuu mtakavyokuwa mnashangilia kwa furaha lizard fc
 
Huu ndo mwanzo wa MO kuwa na timu yake kama BAKHRESA
 
MWEKEZAJI wa Simba,
Mohamed Dewji amesema
watapeleka maombi yao
Shirikisho la Soka nchini ili
kununua timu ya daraja la
kwanza. Timu hiyo itakuwa na wachezaji
wanaotoka timu yao ya vijana ya
Simba na endapo watakubaliwa
watakuwa na timu itakayoitwa
Simba lakini ikishiriki Ligi Daraja la
Kwanza. Mo Dewji amesema endapo timu
hiyo itafanikiwa kupanda daraja
hawataipandisha Ligi Kuu kwank
sheria haitawaruhusu kuwa na
timu mbili ligi kuu zenye jina moja.
"Lengo ni kutoa burudani zaifi kwa mashabiki wetu na kuweka
ushindani mkubwa katika soka,
tukikubaliwa tutanunua timu na
itaitwa Simba ila itashiriki ligi
daraja la kwanza.
"Hatutairuhusu kushiriki ligi kuu hata kama itapanda kwani sheria
hazitaruhusu, tutatoa burudani
huku huku chini," amesema Mo
Dewji.
Anataka kuipangia serikali cha kufanya, sijawahi sikia hiyo Duniani! !!!
 
Back
Top Bottom