kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Sikuwahi kutumia Diamond Karanga tangu amezindua, Sasa Alikiba kazindua Mo Faya nimepata Combination murua. Ni mwendo wa Mo Faya na Diamond Karanga. Safi sana vijana wetu, hata wakisema vilishazinduliwa au nyie mmetumika kama brand tu sawa.
Kwani wangapi hawajapata hiyo nafasi.?
Swali je? Ni kwa namna gani hawa vijana wataitanganza Nchi yao na katika kumake Money??
Kwani wangapi hawajapata hiyo nafasi.?
Swali je? Ni kwa namna gani hawa vijana wataitanganza Nchi yao na katika kumake Money??