d tarimo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2015
- 918
- 516
Kabla unarudi njoo kwanza inboo nikushauri kituNarudi!
Kabla unarudi njoo kwanza inboo nikushauri kituNarudi!
Labda walimuwekea kifaa cha kuzuia mimber propagandist wanatuambia ni microchip!!!!Chai ya rangi bila kitafunywa.
Hawa waandishi wa Gazeti la Jamhuri wanatuona watu wote wajinga.Hakuna microchip ya hivyo acheni ufala
Microchip zipo lakini hazifanyi kazi kama walivyo ongeza chumvi Jamhuri.Inawezekan mkuu. Zipo hizo. Na sishangazwi kama Mo alikuwa nayo. Zina manufaa mengi kwa wenye uwezo.