COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,617
- 3,680
Sema hujui, lakini usikatae kuwa hakuna vitu vya hivyoHakuna microchip ya hivyo acheni ufala
Hakuna Microchip inayopiga picha mkuu, uwe hata unajaribu ku-google Microchip ni nini? Hao wamekulisha matangopori na umeingia mzimamzima bila hata kujiridhisha.Sema hujui, lakini usikatae kuwa hakuna vitu vya hivyo
Inawezekan mkuu. Zipo hizo. Na sishangazwi kama Mo alikuwa nayo. Zina manufaa mengi kwa wenye uwezo.Hahahahahahah!!JF Buaana kila mtu anajua kila kitu.
Acha ufala wewe,microchip iwekwe chini ya ngozi halafu iweze kurekodi umeona wapi?hata akili za kupima hoja huna.Sema hujui, lakini usikatae kuwa hakuna vitu vya hivyo