MO Atalipa..

hivi vitu vishalegea saaana! vilishikizwa tu but MO atalipa
 
Chanzo ni refa
vitu vyengine ni useng tu ndo matatizo ya kuamua kwa emotion hata kama chanzo ni refa viti vinahusikaje..?
bora waekewe yale mangazi ya siment maana hapo itakuwa ni uharibifu tu kila siku
 
Tusipende kujidharau kiasi hili hizi ishu ziko popote ulimwenguni tena ingekuwa sehemu kama Misri uharibifu na maafa vingehamia mpaka mitaani
Tusijifariji kwa kuiga mambo ya kihuni kutoka nchi nyingine tukayaleta kwetu. Ubaya ni ubaya tu. Tuige mazuri kwa maendeleo ya nchi yetu. Kwa waungwana kitendo kile ni cha kulaaniwa kwa nguvu zote.
 
TFF walipe watatuwekeaje refa mwanachama wa yanga netbol klabu
 
Tusijifariji kwa kuiga mambo ya kihuni kutoka nchi nyingine tukayaleta kwetu. Ubaya ni ubaya tu. Tuige mazuri kwa maendeleo ya nchi yetu. Kwa waungwana kitendo kile ni cha kulaaniwa kwa nguvu zote.
Sijasema kuiga na sijasema nasapoti ujinga...uharibifu ni uharibifu tuu lakini isionekane kama sisi ndio wa kwanza kufanya haya
 
Tusipende kujidharau kiasi hili hizi ishu ziko popote ulimwenguni tena ingekuwa sehemu kama Misri uharibifu na maafa vingehamia mpaka mitaani

Kwanini mechi na timu zingine haya mambo hayatokei....kwanini na Yanga tu.....!!??

Tena lazima kuwe na utata dhidi ya refa....!??
 
Sijasema kuiga na sijasema nasapoti ujinga...uharibifu ni uharibifu tuu lakini isionekane kama sisi ndio wa kwanza kufanya haya

Hao wazee wa mbeleko hawawezi kuona mantiki ya ulichoandika......

Mbona wao walivunja viti na kumpiga refa kwenye mechi na Azam....!!?? Au wamesahau...!??
 
Mihemko ni kitu kibaya sana sasa hao walio ng'oa hvyo viti ndo vilikuwa na makosa????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…