johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,335
Pamoja na ukweli kwamba MO ni kada mtiifu wa CCM na Hans Pope ni Chadema lakini kule kandandani hawa ni wamoja. Mo amemteua Hans Pope kuingia katika bodi ya Simba katika nafasi zake sita kama mwekezaji.