Mnyoo mrefu kiasi cha 5cm umetokeza kwenye sehemu ya haja kubwa ya mtoto

Korozoni

JF-Expert Member
Oct 24, 2016
264
105
Habari wana jukwaa,

naomba kusaidiwa juu ya hili,kuna mtoto wa miaka miwili,muda mwingi alikuwa anakabiliwa na tatizo la tumbo la kuharisha na pia linakuwa kubwa sana.

Juzi akapelekwa Hospitali na akapewa dawa ya minyoo.

Sasa usiku huu kuna mnyoo wenye urefu kama wa sentimita kadhaa umejitokeza kwenye njia yake ya haja kubwa,ni round kwa umbo umetokea kama sentimita 9 hivi,sasa nahofia kuutoa kwa mkono nisije kumsababishia matatizo.Wataalamu wa afya naomba maelekezo juu ya nini kifanyike.

Asante
 
Habari wana jukwaa,

naomba kusaidiwa juu ya hili,kuna mtoto wa miaka miwili,muda mwingi alikuwa anakabiliwa na tatizo la tumbo la kuharisha na pia linakuwa kubwa sana.

Juzi akapelekwa Hospitali na akapewa dawa ya minyoo.

Sasa usiku huu kuna mnyoo wenye urefu kama wa sentimita kadhaa umejitokeza kwenye njia yake ya haja kubwa,ni round kwa umbo umetokea kama sentimita 9 hivi,sasa nahofia kuutoa kwa mkono nisije kumsababishia matatizo.Wataalamu wa afya naomba maelekezo juu ya nini kifanyike.

Asante
Umeshatoka!
 
Fanya kuutoa kwani ni kawaida kwa mtoto anae ugua safura....anapotumia dawa minyoo aina ya minyoo kamba humtoka nayo hutoka kwa njia ya haja kubwa na pengine unhemcheleweahea matibabu hutoka mpaka mdomoni.....
 
Habari wana jukwaa,

naomba kusaidiwa juu ya hili,kuna mtoto wa miaka miwili,muda mwingi alikuwa anakabiliwa na tatizo la tumbo la kuharisha na pia linakuwa kubwa sana.

Juzi akapelekwa Hospitali na akapewa dawa ya minyoo.

Sasa usiku huu kuna mnyoo wenye urefu kama wa sentimita kadhaa umejitokeza kwenye njia yake ya haja kubwa,ni round kwa umbo umetokea kama sentimita 9 hivi,sasa nahofia kuutoa kwa mkono nisije kumsababishia matatizo.Wataalamu wa afya naomba maelekezo juu ya nini kifanyike.

Asante
Uko sawa kweli. Unaacha kumsaidia unaleta upuuzi huku. Kweli kua uyaone Ila sio magorofa. Umezaa au umezalishwa..
 
Kama sio Tape worm watakuwa jamii ya ascaris - roundworms. Hapo usafi ni muhumu lasivyo nyumba zima mtakula mayai ya minyoo.
 
Back
Top Bottom