Sawa mkuu.Ila PPF wamesifiwa kwa kutoa mapema pension ya kila mwezi,ila kwa pension ya lumpsum na ya kila mwezi ni kweli sio wazuri sana.
Hata hivyo formula ya kukotoa lumpsum imebadilishwa PSPF kwa mikataba mipya, kwa hiyo take home huko nako inasemekana imeshuka accordingly, kwa pension ya lumpsum na kila mwezi.
Mkuu sijui kama kuunganisha mashirika kutaboresha pension ya lumpsum na ya kila mwezi, ngoja tusubiri March.Hata hivyo haya ndiyo kati ya mambo ambayo wanachama wanapaswa kushirikishwa ku-arrive at,lakini kwa bahati mbaya wamewekwa pembeni kabisa,things are just being imposed on them,pathetic.