Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,074
- 37,542
HR wangu aliniingiza kwenye hilo jinamizi pasi na matakwa yangu, Yaani Sina hamu nalo hilo lidubwana! Nina mwaka wa 3 sasa hata Forms zao sijajaza!Hawa ppf ni Bure kabisaa nshahamisha watu Wa kutosha wasijiunge na huu utumbo mxiouu na uzuri wananielewa maana nawapa mpaka na ushaidi Wa wazi
Kwanzia walipotoa lile FAO la kujitoa nawaona hawana jipya kila ndugu yangu au rafki yangu mwajiriwa mpya nkisikia tu kapata shavu la ajira au anatafta ajira naanza kumpa semina mapemaaa asijitumbukize kwa hawa waporaji
Hii pressure ya kuunganishwa mifuko ndio itanipeleka nikajaze form za usajili!