MODs ni vema mkatengeneza jukwaa la takataka yaani trash bin. Hizi mada zisizo na kichwa wala miguu zisogezwe huko
Hahahahahahahaahhahha nimeipenda hii kaka,kwaiyo kukiwa na jukwaa la takataka tunakua tunapeleka pumbaa huko kma comments si ndio?nimecheka sana aise