Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Naamini ujumbe huu utakufikia.
Kuna vifusi vimerundikwa kwenye barabara ya Malambamawili-Kinyerezi na kwa kipindi hiki cha mvua ni kero kubwa! Jana kuna gari ilikuwa imetereza na kutumbukia mtaroni.
Ombi langu: vifusi hivi visiachwe bila kusambazwa kwani ni hatari na kero kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo
Kuna vifusi vimerundikwa kwenye barabara ya Malambamawili-Kinyerezi na kwa kipindi hiki cha mvua ni kero kubwa! Jana kuna gari ilikuwa imetereza na kutumbukia mtaroni.
Ombi langu: vifusi hivi visiachwe bila kusambazwa kwani ni hatari na kero kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo