Dawa ni kuhakikisha mnyika hapati tena ubunge 2015 sababu toka aingie hamna alichokifanya zaidi ya kupiga blah blah
Wapiga kura wa Mnyika hawako ubungo pekee, wengine wako maeneo mengine huko dar na wengine wako mikoani. Ilivyoajabu hata wa mikoani hupanda basi kwenda ubungo kupiga kura.Mnyika angekuwa anapiga kelele za tatizo la maji kama afanyavyo kwenye shughuli za chama, wakazi wa jimbo lake wasingelalamika hivi, na mnyika akicheza tu 2015 watamuondoa kutokana na tatizo la maji.