mchonga
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 1,233
- 249
Wamehudhuria watu nane halafu saba kati yao ni viongozi wateule. Kwahiyo ukimtoa Mnyika inamaana waliohudhuria wote wamepata uongozi.
Hongereni sana.
Wamehudhuria watu nane halafu saba kati yao ni viongozi wateule. Kwahiyo ukimtoa Mnyika inamaana waliohudhuria wote wamepata uongozi.
Hongereni sana.
Hebu weka picha ya kwenye kikao hicho mkuu!!! Maana siku hizi ni kitu na evidence!
Mcheka kilema na kwao kipo
Mtihani wa nini tena?Hakuna kilema hapo. Hiyo ni hali halisi tu ambayo Mnyika amejionea kwa macho yake. Lakini kwa sababu Mnyika yuko kwenye safari zake za kufanya mitihani, hakuna alichopoteza...
Wamehudhuria watu nane halafu saba kati yao ni viongozi wateule. Kwahiyo ukimtoa Mnyika inamaana waliohudhuria wote wamepata uongozi.
Hongereni sana.
Mtihani wa nini tena?
View attachment 86338
Wanachama
AIBU YAKO!! Nilijua utasema kitu ndiyo maana sikutaka kutoa picha zote. Ninazo kibao Nasubiri useme tena.
ZeMarcopolo toa hoja wanachama hao hapo
Mkuu wangu, picha si hiyo hapo juu.
Hakuna wahudhuriaji wengine zaidi ya hao wanaoonekana kwenye picha...
Ila hawa ni bora msiwaite viongozi. Waiteni waratibu, kwasababu kuwa kiongozi ni lazima uwe na mtu wa kumuongoza. Sasa hawa wanamuongoza nani?
Hawa wanaratibu uanzishwaji upya wa vuguvugu la chadema London baada ya muasisi wa awali Chris Lukosi a.k.a Mzee wa Kazi kujitoa na kundi kubwa la wanachama kumfuata...
Mkuu wangu, picha si hiyo hapo juu.
Hakuna wahudhuriaji wengine zaidi ya hao wanaoonekana kwenye picha...
Hakuna kilema hapo. Hiyo ni hali halisi tu ambayo Mnyika amejionea kwa macho yake. Lakini kwa sababu Mnyika yuko kwenye safari zake za kufanya mitihani, hakuna alichopoteza...
Mnyikaphobia and Chademaphobia!!!Mkuu, hayo tumuache Mnyika mwenyewe siku akiwa tayari kusema.
Hiyo ni mada nyingine ndefu inayohitaji thread yake.
hivi hawa jamaa wako UK au bariadi? mbona wamechoka namna hii.