Makamanda hali ni mbaya sana kwa Mnyika jimbo la Kibamba, hii ni baada ya movement inayoendelea chini kwa chini ya wanachama wa Chadema Asilia na mgombea wao, wanasema ameamua kuwasaliti baada ya kutukuza mafisadi waliovamia chama.
Mikutano ya Mnyika imekosa watu, mbinu anayotumia sasa ni kupita majumbani akiambatana na mateja bila kuweka mikutano ya wazi tofauti na hapo awali.
Mikutano ya Mnyika imekosa watu, mbinu anayotumia sasa ni kupita majumbani akiambatana na mateja bila kuweka mikutano ya wazi tofauti na hapo awali.