Mkuu,
Jopo halipashwi kuundwa na serikali ya CCM kwani bado jopo litakuja na katiba yenye kulalia kwa watawala. Ni vizuri ikaundwa kamati ya bunge ambayo itakuwa na composition ya wapinzani ili tuje na mapendekezo ya katiba yenye kukidhi matakwa ya watanzania wote. Hilo jopo unalolizungumzia wewe kitakuwa ni kiini macho na linaweza kufika mahali likasema muda ni mfupi hivyo kuja na mapendekezo baada ya kuipitisha katiba baada ya uchaguzi wa 2015.
Tiba
Buchanan, tuko pamoja hapa. Sijawahi kuona uncoordinated governement kama huyu mheshimiwa. Waziri mkuu anasema yake baada ya waziri kuzumgumza utumbo siku chache kabla ya tamko la Pinda. Nafikiri suala la katiba mpya ni zito na lilipashwa lijadiliwe katika baraza la mawaziri na kuja na msimamo wa serikali kwa umma lakini sio kila mmoja anasema vyake. Hii ni aibu kwa serikali na inaonyesha ni jnsi gani wasivyokuwa makini kwa masuala mazito!!!!
Tiba
Tiba,
Nilifikiri uliupata ule ujumbe wa mwanzo kutoka kwangu..............maneno niliyo-highlight red...........ondoa herufi "h" iliyo mbele ya herufi "s"......yataleta maana uliyokusudia
Kumradhi wakuu wengine kwenye hii mada...........