Mnyika kurindima kesho tarehe 24/4/2015 manispaa ya Singida

Mnyika kurindima kesho tarehe 24/4/2015 manispaa ya Singida

Chibolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
5,768
Reaction score
8,037
Hekaheka za kumpokea kamanda naibu katibu mkuu CHADEMA bara, mhe.J.J Mnyika zimeanza ambapo inatarajiwa kesho kuanzia saa 8.00 mchana atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya peoples! Nitakuwepo hapa jamvini kuwapa updates.
 
ayatola.h yko wap mbona ajali zmepungua baada ya kustisha misafara yake.mnyika be care ayatola.h siyo mzuri kwa afya yako anything can happen
 
mnyika unajisumbua tu kwa wana singida hatudanganyiki tumeshavua gwanda na kuvaa uzalendo, tuone kama utavunja rekodi ya ACT Wazalendo hiyo kesho, halafu kumbuka ubungo hawana maji ya kuoga na hao ndio waajili wako,
 
mnyika unajisumbua tu kwa wana singida hatudanganyiki tumeshavua gwanda na kuvaa uzalendo, tuone kama utavunja rekodi ya ACT Wazalendo hiyo kesho, halafu kumbuka ubungo hawana maji ya kuoga na hao ndio waajili wako,

Kwetu sisi wanyaturu na wanyiramba, tumeshajitambua. Huwezi kuuvaa uzalendo. Uzalendo uko ndani ya mioyo yetu.
Tunavaa gwanda kuulinda uzalendo uliondani yetu. Gwanda ni vazi la mwanajeshi aliyeapa kuifia nchi yake. Ni vazi la mzalendo namba mmoja. Tutavaa magwanda kuonesha dhamira ya kuifia nchi yetu kivitendo.
Si maneno ya Jukwaani.

CCMact oyeeeeeee!!
 
we nyaturu au mnyeramba wa wapi, wenzako huku ikungi tunajuta kumchagu Lissu hakuna chochote alichotusaidia badala kuwa fundi wa kuomba miongozo ya kijinga amabayo haitusaidi tuliompigia kura
 
mnyika unajisumbua tu kwa wana singida hatudanganyiki tumeshavua gwanda na kuvaa uzalendo, tuone kama utavunja rekodi ya ACT Wazalendo hiyo kesho, halafu kumbuka ubungo hawana maji ya kuoga na hao ndio waajili wako,
haa haa inawezekana ni kweli mnyika asiweze kuvunja rekodi ya zitto, maana kwenye mkutano wa zitto singida ulizaja wanaccm wengi sana!
 
Kwetu sisi wanyaturu na wanyiramba, tumeshajitambua. Huwezi kuuvaa uzalendo. Uzalendo uko ndani ya mioyo yetu.
Tunavaa gwanda kuulinda uzalendo uliondani yetu. Gwanda ni vazi la mwanajeshi aliyeapa kuifia nchi yake. Ni vazi la mzalendo namba mmoja. Tutavaa magwanda kuonesha dhamira ya kuifia nchi yetu kivitendo.
Si maneno ya Jukwaani.

CCMact oyeeeeeee!!
haa haa umempa live mkuu.
 
Binafsi nawapongeza singida kwa kulipatia taifa kamanda lisu, hongera singida, mmelitendea haki taifa letu! Nina imani kesho mtampokea kamanda mnyika vizuri.
 
Hekaheka za kumpokea kamanda naibu katibu mkuu CHADEMA bara, mhe.J.J Mnyika zimeanza ambapo inatarajiwa kesho kuanzia saa 8.00 mchana atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya peoples! Nitakuwepo hapa jamvini kuwapa updates.

Pamoja poti,usisahau kutupiamo kapicha poti.
 
mnyika unajisumbua tu kwa wana singida hatudanganyiki tumeshavua gwanda na kuvaa uzalendo, tuone kama utavunja rekodi ya ACT Wazalendo hiyo kesho, halafu kumbuka ubungo hawana maji ya kuoga na hao ndio waajili wako,

Hiyo slogan nimemkumbuka nape alipokuwa akisema vua gamba, vua gwanda, vaa uzalendo, naona ss ccm wamewapa na slogan tiar
 
Tanzania nzima, Singida inahitaji attension kubwa sana! Hasa singida mjini, wamewekwa kwapani na yule mhindi mwarabu! Ni aibu sana! Bora makamanda waende labda watafunguka! Najiskia vibaya sana tunavyofananishwa na mazezeta! Singida ndio ya kwanza kwa kuipa ccm kura nyingi na hiyohiyo ya mwisho kwa maendeleo! Aibu sana!
 
we nyaturu au mnyeramba wa wapi, wenzako huku ikungi tunajuta kumchagu Lissu hakuna chochote alichotusaidia badala kuwa fundi wa kuomba miongozo ya kijinga amabayo haitusaidi tuliompigia kura

Wewe hulijui jimbo la Lissu kaa kimya kama Kinana
 
25/04/2015 tunamkaribisha Dodoma viwanja vya barafu,makamanda tuhudhulie kwa wingi.
 
mnyika unajisumbua tu kwa wana singida hatudanganyiki tumeshavua gwanda na kuvaa uzalendo, tuone kama utavunja rekodi ya ACT Wazalendo hiyo kesho, halafu kumbuka ubungo hawana maji ya kuoga na hao ndio waajili wako,

Hatukushangai kwani ndege wa rangi moja huruka pamoja.Nakuonya wacha kabisa kufanya komparison kati ya taasisi kubwa sana hapa nchini na hicho kivikoba(act)
 
Binafsi nawapongeza singida kwa kulipatia taifa kamanda lisu, hongera singida, mmelitendea haki taifa letu! Nina imani kesho mtampokea kamanda mnyika vizuri.

Mungu awabariki sana wanasingidani
 
Tanzania nzima, Singida inahitaji attension kubwa sana! Hasa singida mjini, wamewekwa kwapani na yule mhindi mwarabu! Ni aibu sana! Bora makamanda waende labda watafunguka! Najiskia vibaya sana tunavyofananishwa na mazezeta! Singida ndio ya kwanza kwa kuipa ccm kura nyingi na hiyohiyo ya mwisho kwa maendeleo! Aibu sana!

Mkuu upo njema kama wenzenu wa mtwara walikuwa wa kwanza kwa kuipigia ccm kura nyingi kila mwaka na neno upinzani halikuwepo,lkn leo ndio mkoa nambari moja kwa kuupokea wito wa ukombozi na tayari ccm imesha nawa mikono.
 
Mnyika na Mbowe watangaze wenyeviti wa mitaa wa chadema watoe huduma bure, au nao wanapata mgao wa hizo fedha, nasikia mnyika anawakingia kifua wachagga wanaouza maji ubungo.
 
Back
Top Bottom