Mnyika kinara bungeni


Nimekuta hii twitter Mnyika akipewa kubwa JJMnyika: "@Allykhana: JJMnyika tuondolee unafiki wenu yaan leo ndio mnawatakia Waislam heri ya Eid?"►Nashukuru kwa mtizamo wako.Leo pia ni Eid(pili)


Ebu angalieni Mnyika alivyo kilaza yaan kaacha watumia Waislam Heri ya sikuku jana leo analeta majibu mepesi namna hii

Huyu Kilaza kazoea miongozo upstairs pamejaa makamasi
 
Last edited by a moderator:
Mbona unapanic! Usijali bado muda hupo wa kutatua hizo kero bila shaka Mnyika atafanyia kazi kero zako!

 
Huyo si bado mwanjomwanjo, ndio mwaka mara yake ya kwanza bungeni ana moto, sijui kama atakuwa na nyingine ya kuchaguliwa.
 
Na top ten ya wanaolala ni
1. Wassira
2. Komba
3. Kabaka
4. Mrema
.
.
.
etc
 
anastahili pongezi ikizingatiwa kuwa hoja zake nyingi zilikuwa na mashiko angalau kodi zetu zimeenda kihalali tofauti na baadhi ya wale walalavi na waleta ushindani usio na maana
 
Na top ten ya wanaolala ni
1. Wassira
2. Komba
3. Kabaka
4. Mrema
.
.
.
etc

Mkuu ongeza Annah Makinda na Job Ndugai kwani hata wakikalia kile kiti maamuzi wanatoa wakitoka usingizini
 

Mkuu naona elimu akhera imekukaa kweli. Hapa tumia elimu DUNIA
 
Nenda John nenda na udhidi kusonga mbele,kama mtu anaona hufanyi la maana jimboni kwako huyo analake jambo.Umakini wako hata lukuvi anauelewa,uonae John hatendi vyema jimboni umejaribu kuwasiliana nae kujua tatizo?Ikiwa una lengo nzuri na wanaUbungo, mshauri mbunge harafu uone utelezaji wake kwani wote lengo ni kuondoa kero za wananchi hasa kwa kutumia vitu vitatu yaani AKILI, UTASHI na UHURU.
 
leteni na kumi bora za wavivu na watoro bungeni tujue, ili 2015 tuchukue maamuzi sahiii.!
 
cha muhimu ni kutoa points, kuna wabunge ni vinara wa kusimama lakini michango yao ni pumba tupu.. na wengine wanafanya kazi ya kuijibia serikali (mbunge haelewi anafanya nini bungeni) kisingizio ni kuitetea serikali ya chama changu.

next time tunahitaji vinara wa kutoa points kama huyo Chilolomo, jafu, mkalata ni pigo kwa watz lkn wapo top 10 na huwezi kuwalinganisha na mtu kama filikunjombe
 
Molemo mbona hunielewi. Mimi nasema juu ya Mbunge wangu Mnyika ambaye nilimpa kura. Sina haja na wabunge wa majimbo mengine; hayo hayanihusu. Kama hawawatendei haki wapiga kura wao basi na wao watapata haki yao; sitaki Mnyika afike huko.
 
Last edited by a moderator:
Ipo kwenye bajeti tayari

Si kweli! Naambiwa na wakazi wa kule kwamba alishafanyiwa design lakini hata malipo kwa watakaobomolewa bado. Hapo ndipo Mnyika akaze buti aipate hiyo barabara na ya maramba mawili na pia zile za Goba; hapo atapeta lakini akijielekeza na kujikita tu kwenye bandari na uwekezaji next uchaguzi labda akagombee kwingine. Ni ushauri tu
 
Nimeipenda sana hiyo,CCM wajue sasa mambo yamebadilika na sasa wajiandae kwa Movement 4 Exchange.
 
Molemo mbona hunielewi. Mimi nasema juu ya Mbunge wangu Mnyika ambaye nilimpa kura. Sina haja na wabunge wa majimbo mengine; hayo hayanihusu. Kama hawawatendei haki wapiga kura wao basi na wao watapata haki yao; sitaki Mnyika afike huko.

Nina uhakika ulimpa kura yule mama wa CCM.Hata kama ni kiapo nitakula kuthibitisha hukumpa Mnyika kura.Hata Mnyika afanye mema mangapi kamwe huwezi kumuunga mkono.

Mnyika kijana wetu songa mbele,idadi kubwa ya wapiga kura wako tunakuunga mkono.....
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kuwa kinara wa kuchangia pia alikuwa mnywaji mzuri pale chako ni chako hadi anakopa nadhani kuna uhusiano wa nguvu alikokuwa anazipata za kuchangia ***** bungenii maana lunch lazima apite ashtue na asubuhi pia anashtua!!:A S-baby:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…