Mjadala ni mzuri.wote wanaongea na kujenga hoja vizuri sana.ingawa kafulila ni bendera fata upepo na siku zote hana misimamo yake binafsi,lakini ni mjenga hoja mzuri mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake.na.mnyika nae ni supa mbunge.mama Rwakatare kakimbia,angeumbuka leo maana hana upeo wa yanayojadiliwa hapa
wanazungumzia elimu, tuwaangalie