Nani tena?
"Japo tunaomboleza lakini wacha nicheke kidogo...Nimeitwa Manispaa Kinondoni, Mnyika kaniwekea pingamizi eti picha iliyoko kwenye karatasi ya kupigia kura siyo yangu.
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
View attachment 297871
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily
ayatullah hali yake mbaya sana Kigoma Mjini.Amebaki kulialia tu na udini.
yaan ndo baibai.
"Japo tunaomboleza lakini wacha nicheke kidogo...Nimeitwa Manispaa Kinondoni, Mnyika kaniwekea pingamizi eti picha iliyoko kwenye karatasi ya kupigia kura siyo yangu.
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
View attachment 297871
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily
Baba yako ana HASARA kubwa sana.
Baada ya huu ushabiki maandazi wako walikulipa bei gani ? Hivi huyu dickson ndio wa kumtisha mnyika ? Huyo aliyeleta huu uzi rangi motto ni mchumia tumbo anayefahamika humu na vithread vyake .Huwezi kufikiri kama mnyika angeweza kufilisika kiasi hiki!
Duuu...tuta mmiss sana mnyika, lakini ndo hivyo kibamba tulimpenda
ila Ng'hily kampenda zaidi.
"Japo tunaomboleza lakini wacha nicheke kidogo...Nimeitwa Manispaa Kinondoni, Mnyika kaniwekea pingamizi eti picha iliyoko kwenye karatasi ya kupigia kura siyo yangu.
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
View attachment 297871
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily